Bambushka
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 3,952
- 7,218
Kilosa siyo mkoa ila wilaya, ila ni wilaya yenye shida SANA kwenye utapeli, uwizi, ujambazi na mambo ya dhuluma yanayofanana na hayo!Tahadhari,
Uwe makini sana kilosa ni mkoa uliojaa matapeli wengi sana.Nilishapata tatizo huko na taarifa hizi nilizipata kituo cha polisi kimamba.
Nakutakia kila la kheri.
Ni matatizo yapo mkoa
Everyday is Saturday............................... 😎