Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Wakuu nina mwanangu ambaye nilizaa na mke wa kwanza ambaye tumeachana miaka sita iliyopita.
Na hivi sasa mtoto ameshafikisha umri wa miaka 8, nahitaji kumchukua mwanangu nikae naye. Naomba msaada wa kisheria tafadhali.
Na hivi sasa mtoto ameshafikisha umri wa miaka 8, nahitaji kumchukua mwanangu nikae naye. Naomba msaada wa kisheria tafadhali.