Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
- Thread starter
- #21
Sawa mtoto ni wetu lakini kwann niwekewe vikwazo hata vya kumchukua mtoto wakat wa likizo?
Mbna shule namlipia ada hilo nalo hawalitambui?
Mbna shule namlipia ada hilo nalo hawalitambui?
Mtoto wako au wenu?Umchukue umpeleke wapi?Kwanza ulitoa mahari kwa mama wa mtoto?Mtunze akiwa kwa mama yake.