Naombeni mniambie walau Lugalo, Ifakara au Kibaha bado zipo wazi nafasi kwani nahitaji kumpeleka hata uuguzi kwani kukaa home nako sio vizuri kwa mtoto wakike .
Tafadhali madaktari, wauguzi wafanyakazi wa kawaida, wanajeshi na wengineo wanaofahamu kama bado nafasi zipo wanijuze nami napatikana ktk namba hii: +255 657 740 797