MWANANCHI MUSOMMMA
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 328
- 50
Naombeni mniambie walau Lugalo, Ifakara au Kibaha bado zipo wazi nafasi kwani nahitaji kumpeleka hata uuguzi kwani kukaa home nako sio vizuri kwa mtoto wakike .
Tafadhali madaktari, wauguzi wafanyakazi wa kawaida, wanajeshi na wengineo wanaofahamu kama bado nafasi zipo wanijuze nami napatikana ktk namba hii: +255 657 740 797
Tafadhali madaktari, wauguzi wafanyakazi wa kawaida, wanajeshi na wengineo wanaofahamu kama bado nafasi zipo wanijuze nami napatikana ktk namba hii: +255 657 740 797