Nahitaji kumroga mtu, aliyenipiga mbele ya mke wangu

Hii nimeipenda. Kuna boya mmoja namtafutia connection km hii. Hawezi kula hela ya mwanaume akabaki salama
 
....Achana Naye. Hama....
 
Ujinga haufutwi na ujinga zaidi.

Nakushauri tafuta kwengine pa kuishi haraka iwezekanavyo, uza hapo uwr nae mbali kabisa.

Yatayokuja kukuta muda mfupi ujao kupitia kwake usije ukasema hukushauriwa la kufanya.
 
Nyani Ngabu Kiranga tumwambie ukweli kama uchawi haupo au tuache😀
 
Duc in altum
 
Muhimu kutoa taarifa serikalini. Ni jirani yako na hapo ndio kwako, leo ngumi, unajua na yeye ana mpango gani juu yako? Chukua tahadhari!
 
Mzee kinyonge sana bhana,nyumbani kwangu?mbele ya mke na watoto??hana hata sehem ya kungata ukamuachia kovu la maisha?
 
Mfanye afilisike, hata hako kakiwanja kalikobaki akauze afu aende mbali na macho yako, mwambie mganga amfanye auze eneo auchukie mkoa , aende mkoa mwingine, akapotelee huko. Akafilisike asiwahi shika Ela.
 
Kama ulipata hela ya kujenga na kununua gari,naimani huwezi kukosa hela ya kujenga ukuta,jenga ukuta mrefu upande wake alaf ishi maisha yako,hakuna haja ya kuendelea kutafuta amani na jirani mtata
 
Tafuta maaskari feki kwanza waje wakusafishe mbele ya familia kwa kukukamata mbele ya mke wako na watoto huku wanakugombeza kwa kukwambia "kwanini umempigwa mwamba mwalimu wa martial arts? Tena umemuumiza sana?" Alafu we ujibu "afande fujo alianza yeye Mimi kumtengua mkono nimelipiza tu kisasi"

Fanya hivyo ili kujisafisha familia ijue na wewe ni mbabe laa sivyo hata akitokea mende ndani na wewe upo mke wako ataenda kumuita mwanaume wa nyumba ya jirani aje aue mende kwakua anajua mume wake ni muoga
 
Kuna washkaji wengine ukiwazidi maisha kidogo ni nongwa.huyo mwamba anakuchukia kwa sababu una mzidi mlo you hakuna kingine

Kifupi jamaa ana husda na ww anatamani Leo kesho ufue muwe wote level sawa.

Achana nae mfungie vioo .piga ukuta hapo kwako hata kama sehemu ni ndogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…