Nahitaji kumroga mtu, aliyenipiga mbele ya mke wangu

We ushasema ni mcheza ngumi na mateke na ushamuona ana hasira halafu unapayukiana nae mbele ya mkeo.
 
Usimuue Kuna watalaamu kibao tu wanamtengeneza anahama mwenyewe tena kiwanja anakuachia kabisa,Jiongezee
 
Huy mwana maskani yake kubwa ni wapi ? Nataka nikaununue ugomvi
 
Njoo pm nikupe options za kujaribu. Nasema kujaribu kqa sababu nazijua lakini sijawahi kuzitest.

Option 1
Tafuta viatu alivyowahi kutumia (viatu au ndala au sandals)

Option 2
Tafuta picha yake inayomuonesha full, tafuta na manyoya ma5 bawa la kushoto la bata mzinga.

Maelezo yake full njoo pm BURE
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Dada lazima alifanya Jambo!
Kunasiku tulienda kijijini familia nzima, sasa kuna kikao cha ukoo kilifanyika kisha kuna ndugu akawa kama anamsema mzee wetu kwa mafumbo flani hivi.... basi sister alisbindwa kuvumilia alimrukia yule jamaa head moja matata...🀣🀣 basi mimi nikawa nime simama nikajiweka kwa utayari wa vita aiseee....πŸ˜‚πŸ˜‚ watu wote walituliaaaaa kana kwamba hakuna kilicho tokea....😜😜
 
Huyo ni mswahili na inaonekana ni mshirikina pia. Unaweza kumdhuru lakini ujue kuna kesi huko mbele ya haki.
 
🀣🀣🀣🀣Safii Sana,huyo inabidi awe msimamizi mkuu wa familia!Kuna watu wanaleta dharau sana
 
Njoo inbox ikiwa na mchanga wa pale alipokanyanga miguu yake yaani Julia na kushoto na majina yake matatu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…