Nahitaji kumroga mtu, aliyenipiga mbele ya mke wangu

Chief c upauze hapo uhamie kwingine. Kwanini upambane na mtu mjinga atakupotezea raman bure. Uza kanunue kwingine maisha yaendelee.
 
maelezo yote nimeweka hapo kuwa siwezi kwenda kumshtaki huyu mjinga alienikosea adabu kiwango hiko nataman nimkomeshe afe kifo cha maumivu

Mara nyingine watu wakorofi na wakaidi na wanao onea wana nchi hiyo ndio dawa yenyewe walahi!
Umrestishe inipisi tu[emoji13]
 
Kama una 80 elfu.... Uje na kuku wawili mweusi na mweupe!

Picha yw Jamaa tu!

Alafu useme unataka nini
1. Tuitumie nyota yake kukupa wewe hela
2.Tumfilisi mpk boksa
3.Akuogope bila sababu

Kuua Hapana
 
Jifikilie Mara mbilimbili kwanza kabla ya kufanya maamuzi unataka kumfanyia kazi au hasira tu.?
 
Kama una 80 elfu.... Uje na kuku wawili mweusi na mweupe!

Picha yw Jamaa tu!

Alafu useme unataka nini
1. Tuitumie nyota yake kukupa wewe hela
2.Tumfilisi mpk boksa
3.Akuogope bila sababu

Kuua Hapana
njoo pm kama umeamaanisha
 
Kuna mwamba kajenga choo cha kienyeji mbele ya geti la kuingia nyumbani kabisa....watu wana roho mbaya sana....Huyu kuna siku atakuta choo nimekigonga kabisa...watu wana-shari sana..

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Mleta mada anataka kumroga mtu aliyempiga mbele ya mkewe na hataki jambo lingine. Sasa naona umemshauri aende serikali za mtaa tena wakati yeye amesema hata polisi hataki kwenda

Ungesoma maneno vizuri usingekuwa na huu mtazamo.
 
Mkomeshe tu lakini usimuue mkuu mfanye aje akuombe msamaha mbele ya mkeo Lakini kuua sikushauri
 
Mwanaume unapigwa mbele ya mkeo nanwatoto.wanaume wa dar nyie Bado kuvaa bikin
 
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Pole sana ..mkodie wahuni..Ni uhakika kuliko waganga
Hio ni hatari sana, atafungwa maana wakimjeruhi watatafutwa Naye ndio atakuwa suspect no1.
Tumesona Jabari za watu kutunga humu humu JF kutokaba na uchumi huo.
Non violently approach ndio huwa suluhisho. Cha msingi ajitenge nae tu.
Wapalestina na waidlael tangu wanaize kutunishiana misuli hakuna mahindi mpaka leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…