Mwananzengoo
Member
- Jun 8, 2014
- 56
- 25
Wakuu habari.
Katika harakati za kutaka kujiajiri nimejikuta nikaanzisha shule ya chekechea na msingi (english medium) mikoani kwa kununua ekari 8 na kujenga madarasa 3 na choo. Napata shinikizo kubwa la wazazi la kunitaka nipate usafiri. Nina watoto 34. Bajeti yangu ni tsh.15/- mil. Ningependa nipate min bus iliyotumika. Hivyo mwenye kufahamu au anayeuza min bus. tuwasiliane 0784529785. Napokea uhauri wowote pia. ahsanteni.
Katika harakati za kutaka kujiajiri nimejikuta nikaanzisha shule ya chekechea na msingi (english medium) mikoani kwa kununua ekari 8 na kujenga madarasa 3 na choo. Napata shinikizo kubwa la wazazi la kunitaka nipate usafiri. Nina watoto 34. Bajeti yangu ni tsh.15/- mil. Ningependa nipate min bus iliyotumika. Hivyo mwenye kufahamu au anayeuza min bus. tuwasiliane 0784529785. Napokea uhauri wowote pia. ahsanteni.