Nahitaji kununua Kanga na Bata Mzinga kwa bei ya Shamba

Nahitaji kununua Kanga na Bata Mzinga kwa bei ya Shamba

De Professor

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2021
Posts
237
Reaction score
505
Habari zenu wakuu.

Pasipo kupiga chenga nyingi ni kwamba ninataka kuweka mifugo shambani hasa Kanga na Bata Mzinga, Nipo Dar ila kwa wauzaji wa Dar bei zao zipo juu sana nataka kwa Bei ya shamba.

Kama wewe unao kimojawapo au unaweza kuniunganisha na wauzaji wa bei ya chini kabisa nipatie tafadhali.
 
Kuhusu kanga kwanini usinunue mayai halafu ukawaekea kuku wayalalie mana yai moja linauzwa 1000?
 
Kuhusu kanga kwanini usinunue mayai halafu ukawaekea kuku wayalalie mana yai moja linauzwa 1000?
Tatizo la mayai kuna risk sana unaeza nunua mayai kumbe hayana mbengu...unaeza totolesha mayai ila kukuza kifaranga from day 1 hadi mwezi ukajikuta amebakia kifanga 1
Naogopa hizi mambo
 
Mm ninao kanga wa kutosha,,kama upo serious nauza mmoja kwa 30 ukichukua kuanzia 10 ntashusha had 28.
 
Mm ninao kanga wa kutosha,,kama upo serious nauza mmoja kwa 30 ukichukua kuanzia 10 ntashusha had 28.
Kama upo Dar sinunui Kanga zaidi ya elfu 20 na kama ni Kanga mweupe nitanunua kwa elfu 20
 
Back
Top Bottom