Hosea Kasenya
Member
- Sep 23, 2018
- 7
- 0
Habari ndg zangu
Naombeni jamani kwa mtu anayeuza/anajua sehemu ng'ombe wa maziwa wanauzwa Tuwasiliane, nahitaji ng'ombe watatu wenye mimba
Breed:fresian, aryshire or brown swiss
Naombeni jamani kwa mtu anayeuza/anajua sehemu ng'ombe wa maziwa wanauzwa Tuwasiliane, nahitaji ng'ombe watatu wenye mimba
Breed:fresian, aryshire or brown swiss