Hao wa instagram wala sio mawakala. Kama unataka xiaomi agizishia mwenyewe, kama unaogopa Tumia watu wetu humu jukwaani kama mr mobile na Mwl RCT wakuagizishie. Kwa laki 8 unapata note 8 mbili na change inarudi.Habari wakuu! Simu za xioami hazipo mikoani na hawazijui kabisa. Nilitembelea kwenye instagram nikakutana na mawakala wao. Xioami note 7 wanauza laki 6 na nusu, halafu hiyo note 8 wanauza laki 8. Bei zao zilinishinda nikatafuta Nokia, nimezunguka balaa wanasema huwa haziuziki. Tigo shop zipo lakini nokia 1, 2.1 na 3, kuanzia nokia 6 hazipo. Siku iliyofuata nikabahatisha Nokia 6.1 imekaa tangu zilipotoka imekosa wateja ndio nikachukua hiyo. Ninavyoandika hapa natumia hiyo simu
Ngoja niendelee kutumia hii nione kwanza inakuwajeHao wa instagram wala sio mawakala. Kama unataka xiaomi agizishia mwenyewe, kama unaogopa Tumia watu wetu humu jukwaani kama mr mobile na Mwl RCT wakuagizishie. Kwa laki 8 unapata note 8 mbili na change inarudi.
6.1 ndio inatumia hio sd630 ulioitaja. Sio mbaya kwa kusogezea siku.
Habari wakuu!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nahitaji kununua simu ila sijajua ni brand gani kati ya Samsung, Nokia au Infinix
Nahitaji simu yenye sifa hizi:
- Processor - snapdragon 630
- Ram 4, CPU 32 GB
- Kioo supergorrila 3
- Battery 4000 mAh
- Camera 16 mp
- Na vitu vingine kama hivyo
NB: Ukitaja brand ya simu taja na bei yake.
Natanguliza shukrani kwenu
Mkuu MWC imekuwa cancelled??Kwenye features hio xiaomi ipo vizuri zaidi sababu ni modification ya android. Hivyo kama unataka simu ndogo itakayo act kama smartphone inamake sense.
Ila kwenye matumizi ya ki feature phone hio 515 itakuwa nzuri zaid vitu kama ukaaji chaji, durability (full alluminium body), call quality etc.
Sema mkuu MWC haipo mbali subiri kidogo, android ya hio xiaomi ni modified tu sio official toka Google, MWC tunategemea official Android feature phone os ambayo itakuwa optimised zaidi.
Kwa sasa ni soko gani la uhakika maana naona china vitu havitokiHao wa instagram wala sio mawakala. Kama unataka xiaomi agizishia mwenyewe, kama unaogopa Tumia watu wetu humu jukwaani kama mr mobile na Mwl RCT wakuagizishie. Kwa laki 8 unapata note 8 mbili na change inarudi.
6.1 ndio inatumia hio sd630 ulioitaja. Sio mbaya kwa kusogezea siku.
India pia vitu bei rahisi sema inacost hela nyingi mpaka kufika hapa. Inabidi utumie forwading service.Kwa sasa ni soko gani la uhakika maana naona china vitu havitoki
Hao wa instagram wala sio mawakala. Kama unataka xiaomi agizishia mwenyewe, kama unaogopa Tumia watu wetu humu jukwaani kama mr mobile na Mwl RCT wakuagizishie. Kwa laki 8 unapata note 8 mbili na change inarudi.
6.1 ndio inatumia hio sd630 ulioitaja. Sio mbaya kwa kusogezea siku.
Nokia 6.1 plus ama Nokia 6.2 around 350k zinapatikana sema specs zake sio competent kivile.Nokia ipi kwa bei isiozidi 400k, Hio Nokia 6.1 umesema sio nzuri kivile..
Nokia ipi nzuri mkuu.Nokia 6.1 plus ama Nokia 6.2 around 350k zinapatikana sema specs zake sio competent kivile.
wame dissapoint sana mkuu hawa HMD zote 6.2 na 7.2, sijajua 8.2 itakuwaje.Nokia ipi nzuri mkuu.
Nokia 6.1 plus ama Nokia 6.2 around 350k zinapatikana sema specs zake sio competent kivile.
Ni kweli mkuu, hili ni la ku consider piaHz nokia 6.1 plus zimelalamikiwa sana baada ya miezi kadhaa charging port zinasumbua...simshauri anunue although ni simu nzuri kiasi kwa bajeti.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani hii brand kila siku imekuwa yakuvurundwa rundwaNi kweli mkuu, hili ni la ku consider pia
simu pekee ambayo ni spiritual successor wa Nokia ya zamani ni Asus Rog 2, kama una hela ya kutosha Go for it. hizi Nokia za HMD ni simu za kawaida tu ambazo zinatii matakwa ya Google zaidi kuliko Nokia.
Mkuu nimeona dukani wanauza Nokia 3.1 sikumbuki vizuri. Hizi zina uhusiano gani na hizi zinazoanzia 6.1 au 7 na pointi zake.simu pekee ambayo ni spiritual successor wa Nokia ya zamani ni Asus Rog 2, kama una hela ya kutosha Go for it. hizi Nokia za HMD ni simu za kawaida tu ambazo zinatii matakwa ya Google zaidi kuliko Nokia.
Hizi asus zinapatikana hapa Dar au Tzsimu pekee ambayo ni spiritual successor wa Nokia ya zamani ni Asus Rog 2, kama una hela ya kutosha Go for it. hizi Nokia za HMD ni simu za kawaida tu ambazo zinatii matakwa ya Google zaidi kuliko Nokia.
Za kuagizishia mkuuHizi asus zinapatikana hapa Dar au Tz