Nahitaji kununua simu yenye sifa hizi, je ni simu ipi itanifaa?

Habari wakuu! Simu za xioami hazipo mikoani na hawazijui kabisa. Nilitembelea kwenye instagram nikakutana na mawakala wao. Xioami note 7 wanauza laki 6 na nusu, halafu hiyo note 8 wanauza laki 8. Bei zao zilinishinda nikatafuta Nokia, nimezunguka balaa wanasema huwa haziuziki. Tigo shop zipo lakini nokia 1, 2.1 na 3, kuanzia nokia 6 hazipo. Siku iliyofuata nikabahatisha Nokia 6.1 imekaa tangu zilipotoka imekosa wateja ndio nikachukua hiyo. Ninavyoandika hapa natumia hiyo simu
 
Hao wa instagram wala sio mawakala. Kama unataka xiaomi agizishia mwenyewe, kama unaogopa Tumia watu wetu humu jukwaani kama mr mobile na Mwl RCT wakuagizishie. Kwa laki 8 unapata note 8 mbili na change inarudi.

6.1 ndio inatumia hio sd630 ulioitaja. Sio mbaya kwa kusogezea siku.
 
Ngoja niendelee kutumia hii nione kwanza inakuwaje
 
Note9 samsung
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu MWC imekuwa cancelled??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa sasa ni soko gani la uhakika maana naona china vitu havitoki
 
Nokia ipi kwa bei isiozidi 400k, Hio Nokia 6.1 umesema sio nzuri kivile..
 
simu pekee ambayo ni spiritual successor wa Nokia ya zamani ni Asus Rog 2, kama una hela ya kutosha Go for it. hizi Nokia za HMD ni simu za kawaida tu ambazo zinatii matakwa ya Google zaidi kuliko Nokia.
Mkuu nimeona dukani wanauza Nokia 3.1 sikumbuki vizuri. Hizi zina uhusiano gani na hizi zinazoanzia 6.1 au 7 na pointi zake.
 
simu pekee ambayo ni spiritual successor wa Nokia ya zamani ni Asus Rog 2, kama una hela ya kutosha Go for it. hizi Nokia za HMD ni simu za kawaida tu ambazo zinatii matakwa ya Google zaidi kuliko Nokia.
Hizi asus zinapatikana hapa Dar au Tz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…