Nahitaji kununua simu yenye sifa hizi, je ni simu ipi itanifaa?

Nahitaji kununua simu yenye sifa hizi, je ni simu ipi itanifaa?

Mkuu nimeona dukani wanauza Nokia 3.1 sikumbuki vizuri. Hizi zina uhusiano gani na hizi zinazoanzia 6.1 au 7 na pointi zake.
Nokia 3.1 ni ya zamani sana na specs wise ni dhaifu kushinda A10, inamake sense kununua kama inauzwa chini ya laki 2.
 
Back
Top Bottom