Nahitaji kununua suti ya harusi kwa bei nzuri

Nahitaji kununua suti ya harusi kwa bei nzuri

mheshimiwamtemi

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2014
Posts
291
Reaction score
218
Nahitaji suti ya harusi, bei poa, kali na yenye rangi ya kisasa.

Nijuzeni ni rangi gani nzuri na nitapata wapi kwa hapa Dar.

Asante.
 
Anapatikana pia instagram, search mbogofashion.
Simpigii promo ila ndiye anayewashonea suit kina Joti na Mpoki.
Hawa washona suti za ma celeb ukienda mtu kama hujulikani

Wewe ndio anakufanya DEMO yani anakutandka bei hiyo mpk

Unaondoka unachechemea kwa bei atakayokutajia .. .. ...
 
Nilikua na fundi wangu sema Mungu kamchukua yule mzee

bado hadi leo naamini mafundi suti wakali "hawapo instagram"
 
Back
Top Bottom