Nahitaji kuoa tena insha allah

msumeno

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2009
Posts
2,826
Reaction score
1,734
Assalam aleikum,, mimi ni mtu mzima nina umri wa miaka 45 , ninawatoto wakubwa tulozaa na marehemu mkee wangu, nahitaji mke wenye umri wa 35 mpaka 40 hata kama ana mtoto, kigezo ni dini tu mimi ni mwislam,, muhimu pia kujua mimi si mwenye pesa ila najihangaisha kutafuta riziki halali na insha allah naipata na wanangu wanasoma. Nawaombeni sana kejeli na mambo kama haya si stahiki yangu maana yalo nikuta sikutaka ila ni mipango ya allah, ni pm uliye tayari au mwenye kuhitaji habari zaidi juu yangu

wabillahi tawfiq
 
Wa alaykum salaam Msumeno!

Kwa ushauri wangu tafadhali maadam wewe ni Muislam na unajitambulisha kwa Uislam wako basi hapa si salama kwako kupata mke mwema. Rejea Msikitini kwako au misikiti ya jirani wahusishe Maimam au Wanawake wema wakutafutie mke.
Muombe Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi utafanikiwa.
 
BisMilLah wa Al-Hamdulillah
Salam alaykum shekhe kwa moyo wangu Ninakuombea uruzukiwe Mke mwema na mwenye dini apatikane haraka. amin
EnShalla sintosimama kwa dua' hadi ufanikiwe mahitaji yako. (Ala ina NasruLlahi qariib)
 
Well said ushauri mzuri.
Barakaallah fik
 
Aamin,, nitazingatia ushauri wenu
 
Mkuu hapa Jf huwezi pata mke wa kuoa, kuna jamaa katoa ushauri hapo juu washirikishe viongozi wako wa dini najua hawatakuangusha.Huku jf unaweza kuangukia kwenye mikono isiyo salama ukaja juta.
Kila la heri !!
 
simama kisimamo cha usiku....kama allah atajaalia kuipokea dua yako hata humu utampata umtakae in sha allah
 

swadaktaaa
 

Hupati mke mwema hapa
 
ALLAH akujaalie upate mke mwema. Mtangulize sana ALLAH na kithirisha kumuomba
 
Mwaya utapata, hapa kwenyewwe kuna wake za watu, are they evil?

Hawa waliopo hapa ndio waliopo huko huko mtaani, makanisani na misikitini.

Wish you lucky.
 
ukimaanisha nini hapo?
Mpendwa Data jioni njema? Mkuu ujio mwema na kwa heshima nimefurahi kuuliza Kind thanks, Mimi kusema BarakaAllah Fik = hii ni neno la kiarabu lenye utukufu kijamii na kiimani ,,Ok Mkuu tuanze na neon la mwanzo Baraka
hili neno pia tunalitumia Kiswahili yaani Baraka (zawadi ya Mungu kwa) Halafu neno Allah ni Jina la Mwenyeezi Mungu, na neno fik yaani kwako (to you) Sasa ukiunganisha unapata Ombi moja kubwa that is BarakaAllah fik yaani God bless you. kwa hiyo nilikuwa ninamtakia mema mwenzangu na wewe pia Good Luck ..... zaidi lugha mama maneno mengi ni ya kiungwana na kupendeana mema na maraidhia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…