covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
Ndugu wana-Jamiiforums wenzangu nahitaji kuonana au kuwasiliana tu na mhe. Ummy Mwalimu Waziri TAMISEMI naamini nikionana nae jambo letu kwenye kuinua elimu yetu tunaamini litakwenda hasa katika kipindi hiki cha utandawazi.
Nimefanya jitihada nyingi ila nimeshindwa wakuu vizingiti ni vingi aisee. Namini humu kuna watu wana-access nae direct au indirect
Naombeni sana msaada wenu na Mungu atawabariki..
Nimefanya jitihada nyingi ila nimeshindwa wakuu vizingiti ni vingi aisee. Namini humu kuna watu wana-access nae direct au indirect
Naombeni sana msaada wenu na Mungu atawabariki..