mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
Mkuu una akili mno[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umepiga chenga ya mwili hapo kuna mdada umemuelewa umeamua kutuzuga[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Labda Nakubusu
NakaziaHao unatakiwa uchati nao pm sio huku
Njoo Mikocheni BMkuu TAJIRI MKUU WA MATAJIRI ni kipi kinakusibu?
Niambie mahali ulipo ili niwashe chuma nije tuonane ili roho yako ipone,nipo kwa ajili ya watu mkuu.
π Huyo tajir hakopi,itakuwa anataka kutusaidia mkwanja tusi mpuuze jamnπππππSasa kazi yako ni kuonana na watu! Au unataka kuwakopa
Wewe umewakopesha mara ngapi?Sasa kazi yako ni kuonana na watu! Au unataka kuwakopa
Haha haha hahaUnatafuta wa kumweka msukule
Nadhani huyo dada Ni huyo aliyemuweka wa kwanza kwenye listπ