BradFord93
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 917
- 2,217
Kabisa,wabongo wanawaza ngono tuu na ndio maana tunazid kua maskini wa kutupwaWakikujibu unitagi mkuu, ingekuwa ni story ya kugegeda au kula tunda kimasihara huu uzi ungekimbiza sana
Mwanangu nakufuatiliaga sana natamani nijue duka lako lipo mkoa gani na mazingira yapi, inaonekana duka limekutoa, Namimi nataka nianze.
cha msingi kama una friza fanya mpango uwe na juice ya kutengeneza(kama huwezi kutengeneza vizuri tafuta mtu akutengenezee yenye ubora unainunulia kwake, kama mtaji hana unampa kila kitu akutengenezee utamlipa) , maziwa mgando, kuku zile broiler zilizonyonyolewa tayar ni kupika tuu!, ukipata na samaki mbichi mambo yatakaa njema!! Fanya hivyo
Mkuu me naomba kufahamu kuhusu biashara ya duka, mtaji kianzio na faida inavyokuwaga
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta hawa vijana waliosomea masoko na mauzo wapige kazi;waache kuangaika na mabahasha mitaani
Dar maeneo gani hapo, ili niweze kupata picha kwenye suala la kuchagua locationMimi nipo dsm ndugu
Cwezi kusema biashara imenitoa ila hatua nmepiga angalau...!!biashara inaenda vzuri...kikubwa n ubunifu...na lugha nzuri kwa wateja
Sent using Jamii Forums mobile app
Dar maeneo gani hapo, ili niweze kupata picha kwenye suala la kuchagua location
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu ni vyema ungefikiria kuwa na chain of hyo maduka, ukipata right system unaweza kuwa nayo hta ishirini na ukayamanage vizuri tu!Kwakweli....hii biashara cjawah kufikiria kufanya...!!kikubwa knachonsaidia ni nnajua kuzungumza na watu....!!kujiongeza na ubunifu
Mimi nilianza na laki 2..!!mpaka sasa angalau mtaji umekua mpk mil.8
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu ni vyema ungefikiria kuwa na chain of hyo maduka, ukipata right system unaweza kuwa nayo hta ishirini na ukayamanage vizuri tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
kumpata mtu sahihi kwa 100% inaweza kuwa changamoto, lakini ukishakuwa na system inayo track mauzo ya kila siku ni vigumu mno kuibiwa.Thanks ndugu....sema nataman kufungua biashara pengne....tatzo n mtu wa kmuweka dukan
Sent using Jamii Forums mobile app
Thanks ndugu....sema nataman kufungua biashara pengne....tatzo n mtu wa kmuweka dukan
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sana! kamandaKwakweli....hii biashara cjawah kufikiria kufanya...!!kikubwa knachonsaidia ni nnajua kuzungumza na watu....!!kujiongeza na ubunifu
Mimi nilianza na laki 2..!!mpaka sasa angalau mtaji umekua mpk mil.8
Sent using Jamii Forums mobile app