Nahitaji kupata ujauzito

JF Dr habari,kwa kifupi tangu nimeolewa miezi 6 sasa cpati mimba na ninashiriki tendo kikamilifu hasa tarehe za hatari.msaada tafadhali

nitajie tarehe za hatari unazoshiriki hilo tendo.............

usipuuzie.
 
Jitahidi dadangu na wala usihofu mimba utapata na usiwaze miezi sita michache sana...nina miaka mitatu ya ndoa sasa mtoto bado japo mimba huwa wife anapata...so usiwaze keep faith alive
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…