Dada huyu fundi tulikuwa tunamwamini sote nyumbani kwakuwa keshatufanyia kazi nyingi tu,ni vile sasa ana wateja wengi sasa ameanza kutojali na anajua hatupo karibu.
Kweli mkuu kweli ni KIPAJI...kwa kuwaamini watu nimepoteza sana na hadi kupoteza marafiki...natamani kuwa na roho mbaya nisikopeshe tena ila ninashindwa
Du...dada!!!!?!😡