Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,697
- 15,497
Dada huyu fundi tulikuwa tunamwamini sote nyumbani kwakuwa keshatufanyia kazi nyingi tu,ni vile sasa ana wateja wengi sasa ameanza kutojali na anajua hatupo karibu.
Du...dada!!!!?!😡
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada huyu fundi tulikuwa tunamwamini sote nyumbani kwakuwa keshatufanyia kazi nyingi tu,ni vile sasa ana wateja wengi sasa ameanza kutojali na anajua hatupo karibu.
Kweli mkuu kweli ni KIPAJI...kwa kuwaamini watu nimepoteza sana na hadi kupoteza marafiki...natamani kuwa na roho mbaya nisikopeshe tena ila ninashindwa
Du...dada!!!!?!😡