Masai wa ilitepesi
Member
- Mar 16, 2018
- 9
- 6
Kwanza habari za wakati huu,
Mimi ni kijana kutoka jamii ya kimasai, wazazi wangu walinitoga masikio na kung'oa jino la chini kama mila na desturi za kabila letu. Sasa walinifanya hivyo nikiwa mdogo sana, sasa baada ya kukuwa nikaja kutambua kuwa waliniaribu sana,
.1. Je kuna uwezekano wa kushona ? Na je hospitali zipi ziko vizuri kwa kushona? Na inaweza kunigharimu shilingi ngapi?
2. Je jino la bandia ambalo sitoi wakati wa kula nyama nitapata kwa bei gani? Na je hilo jino la bandia lina madhara yeyote?
3. Na nimekuwa nikipata shida kutamka baadhi ya maneno mfano ( ZA VA THA n.k) je nikiweka hilo jino nitaweza kuyatamka vizuri?
Mimi ni kijana kutoka jamii ya kimasai, wazazi wangu walinitoga masikio na kung'oa jino la chini kama mila na desturi za kabila letu. Sasa walinifanya hivyo nikiwa mdogo sana, sasa baada ya kukuwa nikaja kutambua kuwa waliniaribu sana,
.1. Je kuna uwezekano wa kushona ? Na je hospitali zipi ziko vizuri kwa kushona? Na inaweza kunigharimu shilingi ngapi?
2. Je jino la bandia ambalo sitoi wakati wa kula nyama nitapata kwa bei gani? Na je hilo jino la bandia lina madhara yeyote?
3. Na nimekuwa nikipata shida kutamka baadhi ya maneno mfano ( ZA VA THA n.k) je nikiweka hilo jino nitaweza kuyatamka vizuri?