Mimi nina elimu ya kidato Cha SITA ambapo nilisoma PCB na nikipata daraja la pili nikiwa na D flat.
Nimehitimu kozi ya Utabibu [Clinical Officer] ambapo nimepata wastani wa B+.
Nahitaji kusoma shahada ya Physiotherapy
Naomba kuelekezwa ni wapi ndani na nje ya nchi ambapo naweza kusoma kwa taaluma Bora na gharama nafuu.
Nimehitimu kozi ya Utabibu [Clinical Officer] ambapo nimepata wastani wa B+.
Nahitaji kusoma shahada ya Physiotherapy
Naomba kuelekezwa ni wapi ndani na nje ya nchi ambapo naweza kusoma kwa taaluma Bora na gharama nafuu.