Mrimi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,691
- 640
Wakuu nipo Mbeya mjini,kuna mtu wangu wa karibu anahitaji kuuza vocha za simu kwa bei ya jumla ila anashindwa kujua wapi atazipata.Amekwenda ofisi za Voda,Airtel na Tigo hapa Mbeya mjini lakini amekuwa akielekezwa kwenda kwa wauzaji wengine ambao hata kama akichukuwa kwao hawezi kuuza akapata faida.
Niliwahi kuambiwa kwamba kwa vodacom vocha zao zinapatikana Simbacom hapa town,lakini inaonekana hawa simbacom ni kama hawaoperate tena hapa mjini kama mwanzo.So,najua kuna watu wana ufahamu wa hili naombeni msaada tafadhali.
Niliwahi kuambiwa kwamba kwa vodacom vocha zao zinapatikana Simbacom hapa town,lakini inaonekana hawa simbacom ni kama hawaoperate tena hapa mjini kama mwanzo.So,najua kuna watu wana ufahamu wa hili naombeni msaada tafadhali.