Kipapatiro
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 1,129
- 1,497
Bro haya mengine yakipasuka tair VP?Shida ya baadhi ya kijapan ni t3chnical fault wakati wa dharura kama kupasuka tairi .
Mfano .noah,harrier,Rav 4 na baadhi mengine kupasuka kwa tairi juu ya spidi 80 usipokuwa makini limeenda ,tofauti na BMW,Benz,Volkswagen na Audi