Kesho nawafuata HQ wasiponirudishia hela yangu napeleka kesi kwenye vyombo husika na kuipublicize kwenye media yaan hata sikubali kama noma iwe noma tu.Si kweli shirika linahukumiwa for economic neglence or vicarious liability mahakamani matendo ya wafanyakazi ndio matendo ya shirika pia. Vitu kama hivi kuokoa gharama za kesi kawaida regulator anatakiwa azipige fine kubwa sana kampuni kama hizi mambo kama haya yanapojitokeza na kuwataka kulipia fidia za loses watu walizopata kama huyu jamaa; akienda mahakamani anatakiwa adai zaidi ya laki tatu kama wakitakaa kulipa kiistarabu.
Nimewauliza wazoefu wamening'ata sikio kuhack system ya mpesa ndio deal wanazofanya waajiriwa wa vodacom sasa ngoja niende nao sambamba nitaleta mrejesho hukuKaka hapo andika maumivu tu there is no way utapata msaada na hata kesi utakuwa unapoteza pesa na muda zaidi shukuru ni laki tatu tu wangelamba milioni si ungeweuka as long system haionyeshi hakuna refund yoyote utakayopata na katika system zote mpesa system ni zaidi ya vigumu kuhuck yes sometime huwa ina jam
lakini hawatakusaidia trust me assume umeibiwa
Na karamagiHivi Vodacom si ya Rostam na Lowasa, mijizi iliyoota mapembe?
Unatakiwa uanze kwao kwanza na ushahidi wako wakikataa, usisha regulator, ukienda mahakamani udai laki tatu tena bali na gharama za kesi na muda tunazungumzia mamiillioni.Kesho nawafuata HQ wasiponirudishia hela yangu napeleka kesi kwenye vyombo husika na kuipublicize kwenye media yaan hata sikubali kama noma iwe noma tu.
Me nitadeal nao perpendicular ikibidi hata international organization zitalijua hili we subiri utasikia kishindo changuVodacom wasumbufu sana. Nilihamisha fedha kutoka Mpesa kwenda NMB ni wiki sasa fedha haijawa Credited kwenye akaunti yangu. Kila ukizungumza na Customer Service unaambiwa baada ya 24hrs Muamala utakamilika. Naona hiyo 24hrs kwa Vodacom it can last even for a week. Wasumbufu sana.
pumbavu tena ukome kabisa kumsema lowasa tena uko kama ukivyokoma nyonyo ya mama yako muone syra kama chapatiHivi Vodacom si ya Rostam na Lowasa, mijizi iliyoota mapembe?
We si umekuja kuomba msaada wa kisheria? Sasa mbona unaanza kujitapa tena? Si usubiri basi upewe huo msaada.Me nitadeal nao perpendicular ikibidi hata international organization zitalijua hili we subiri utasikia kishindo changu
We si umekuja kuomba msaada wa kisheria? Sasa mbona unaanza kujitapa tena? Si usubiri basi upewe huo msaada.Me nitadeal nao perpendicular ikibidi hata international organization zitalijua hili we subiri utasikia kishindo changu
we sikujibu nakuweka pendingWe si umekuja kuomba msaada wa kisheria? Sasa mbona unaanza kujitapa tena? Si usubiri basi upewe huo msaada.
Na jamaa la vijicent!Hivi Vodacom si ya Rostam na Lowasa, mijizi iliyoota mapembe?
Hivi unafikiri voda ni wajinga sana au wapo wapo tu kienyeji your dead wrong wamejipanga kwelikweli wana team kubwa ya ma lawyer na kesi yako iatakuwa ya mia naaa au ata elfu naaa voda wana kesi chungu nzima kama nilivyokueleza hapo awali utaenda hapo HQ utapewa chai tu mwisho wa siku litakushuka na kukumbuka nauli yako kama kweli unataka kuwashika nenda kwanza polisi coz hiyo kesi ni ya wizi wa mtandaoni na kesi za mtandaoni zina procedure zake usijidanganye eti voda itamkaangaa staff wake kirahisi hivyo au watakwambia fulani kati yetu kahusika mkuu acha kuota mimi nilikuwa staff hapo still kuna internal investigation and procedures za kudeal na staff wake sasa wewe nenda kichwa kichwaWe si umekuja kuomba msaada wa kisheria? Sasa mbona unaanza kujitapa tena? Si usubiri basi upewe huo msaada.
Tupo pamoja yani wewe kama mimi. Mi hata ingekuwa buku tano nakula sahani moja na wao. Haiwezekani hiyo pesa wamepiga wao. Itakuwaje system msg ionyeshe ongezeko bila float kuongezeka? Mi nipo mkoa ningekuwa Dar tungeenda pamoja.Kesho nawafuata HQ wasiponirudishia hela yangu napeleka kesi kwenye vyombo husika na kuipublicize kwenye media yaan hata sikubali kama noma iwe noma tu.
badala ya kumwambia mleta mada?Hivi unafikiri voda ni wajinga sana au wapo wapo tu kienyeji your dead wrong wamejipanga kwelikweli wana team kubwa ya ma lawyer na kesi yako iatakuwa ya mia naaa au ata elfu naaa voda wana kesi chungu nzima kama nilivyokueleza hapo awali utaenda hapo HQ utapewa chai tu mwisho wa siku litakushuka na kukumbuka nauli yako kama kweli unataka kuwashika nenda kwanza polisi coz hiyo kesi ni ya wizi wa mtandaoni na kesi za mtandaoni zina procedure zake usijidanganye eti voda itamkaangaa staff wake kirahisi hivyo au watakwambia fulani kati yetu kahusika mkuu acha kuota mimi nilikuwa staff hapo still kuna internal investigation and procedures za kudeal na staff wake sasa wewe nenda kichwa kichwa
Sorry mkuu nilikuwa nafanya haraka nilikuwa ofisinibadala ya kumwambia mleta mada?
Kama kweli njoo PM nitakupa majina ya watu wa idara za fraud na ofisi zao usije enda pale usijue pa kuanzia au ukakosa msaada kabisaaaMimi ni wakala wa Mpesa vodacom nahitaj msaada wa kisheria wa kuishtaki kampuni ya Vodacom kwa kuniibia Tsh. 300,000/=. Kesi yenyewe ipo hivi; Kuna mteja amekuja kwangu kutoa fedha kupitia mtandao wa Vodacom Mpesa nami kama wakala nimemuhudumia bila shida. Katika kuhakikisha muamala ni sahihi nimehakikisha nimepokea msg ya kupata float kutoka kwa mteja na mteja amenionyesha msg ya kuthibitisha kwamba muamala wa yeye kutoa fedha kupitia namba yangu wa wakala umekamilika. Sasa kila nikiangalia balance ile fedha haijafika katika akaunti yangu ya wakala na nikiwauliza Vodacom customer care wanasema muhamala uliofanyika haujasoma katika system yao na wala haupo lkn cha ajabu mihamala mingine yote liyofanyika imeonekana kwenye system yao. Msg niliyopata ya kuuthibitisha muhamala ninaoudai ni kutoka Mpesa na wala si kutoka private namba na zaidi msg hiyo imetaja mpaka ongezeko la kiasi cha fedha katika akaunti yangu ya wakala ambayo ni sahihi ijapokuwa ongezeko hilo halisomi kwenye akaunti yangu ya biashara ya uwakala. Kuna uwezekano mkubwa wahudumu wa Vodacom Mpesa wamehack muhamala huu na kuzuia usisome kwenye system hivyo naomba msaada wa kisheria ili niweze kuishtaki kampuni hii.
Ahsanten