Unaushahidi? Au ndio umeanza siasa?Hivi Vodacom si ya Rostam na Lowasa, mijizi iliyoota mapembe?
Sio lazima claimant amjue ni nani aliyeshiriki kumletea hasara negligence inaweza kuwa ya kampuni bila ya kumjua aliefanya kosa exactly hayo ya internal investigation watajijua wenyewe humo ndani ya voda. Mahakama inatambua kosa la mfanyakazi ndio kosa la shirika zima kwenye negligence.Hivi unafikiri voda ni wajinga sana au wapo wapo tu kienyeji your dead wrong wamejipanga kwelikweli wana team kubwa ya ma lawyer na kesi yako iatakuwa ya mia naaa au ata elfu naaa voda wana kesi chungu nzima kama nilivyokueleza hapo awali utaenda hapo HQ utapewa chai tu mwisho wa siku litakushuka na kukumbuka nauli yako kama kweli unataka kuwashika nenda kwanza polisi coz hiyo kesi ni ya wizi wa mtandaoni na kesi za mtandaoni zina procedure zake usijidanganye eti voda itamkaangaa staff wake kirahisi hivyo au watakwambia fulani kati yetu kahusika mkuu acha kuota mimi nilikuwa staff hapo still kuna internal investigation and procedures za kudeal na staff wake sasa wewe nenda kichwa kichwa
Boss...wala usipoteze muda wako umepigwa...na siku nyingine uwe makini zaidi...usitoe hela kabla huja hakiki kwenye flot yako...usithibitishe kwameseji....zinatengenezwa....Mimi ni wakala wa Mpesa vodacom nahitaj msaada wa kisheria wa kuishtaki kampuni ya Vodacom kwa kuniibia Tsh. 300,000/=. Kesi yenyewe ipo hivi; Kuna mteja amekuja kwangu kutoa fedha kupitia mtandao wa Vodacom Mpesa nami kama wakala nimemuhudumia bila shida. Katika kuhakikisha muamala ni sahihi nimehakikisha nimepokea msg ya kupata float kutoka kwa mteja na mteja amenionyesha msg ya kuthibitisha kwamba muamala wa yeye kutoa fedha kupitia namba yangu wa wakala umekamilika. Sasa kila nikiangalia balance ile fedha haijafika katika akaunti yangu ya wakala na nikiwauliza Vodacom customer care wanasema muhamala uliofanyika haujasoma katika system yao na wala haupo lkn cha ajabu mihamala mingine yote liyofanyika imeonekana kwenye system yao. Msg niliyopata ya kuuthibitisha muhamala ninaoudai ni kutoka Mpesa na wala si kutoka private namba na zaidi msg hiyo imetaja mpaka ongezeko la kiasi cha fedha katika akaunti yangu ya wakala ambayo ni sahihi ijapokuwa ongezeko hilo halisomi kwenye akaunti yangu ya biashara ya uwakala. Kuna uwezekano mkubwa wahudumu wa Vodacom Mpesa wamehack muhamala huu na kuzuia usisome kwenye system hivyo naomba msaada wa kisheria ili niweze kuishtaki kampuni hii.
Ahsanten
Nani anajukumu la kuziba fault processes? na kwanini sheria inataka kuona 'reasonable company/manufacture test' kwenye services au bidhaa zao kuhakikisha zina ubora iwaje huyu afanye vitu vyote anavyofanya kila siku lakini apigwe? Ndugu mahakama inatambua hayo ni majukumu ya kampuni sio wakala kama ndio anavyofanya hila safari hii imekuwa tofauti au ata kama wamebadilisha processes yeye awajamtaarifu wanatakiwa kulipa na kupigwa fine still tena ya nguvu huu ni uzembe tu kutoka kwao.Boss...wala usipoteze muda wako umepigwa...na siku nyingine uwe makini zaidi...usitoe hela kabla huja hakiki kwenye flot yako...usithibitishe kwameseji....zinatengenezwa....
Yahusu airtel ;wakuu naomba ushauri nimelipia bill ya maji tangu mwezi uliopita kupitia airtel money mpaka leompesa hazijaingia dawasco nimekatiwa maji kila nikiwasiliana na airtell naambiwa wanashughulikia ndani ya nusu nitakuwa sawa tangu mwezi uliopita hadi leo maji nimekatiwa tayari nifanye nini?au niende polisi ni zaidi ya shs 3000000
Lizaboni anatumia maku yake ya kijani kufikiri.Mh. Lowassa anaingiaje hapa!!! hivi Lizaboni huwa unafikiri kwa kutumia nini!!?
Kweli ni upumbavu sana wa haya makampuni ya simu kutoa siku tatu wakati ni issue ya kuingia kwenye system na ku credit muhamala tu,jamaa alifanya Poa ni kuwachana kuanzia JF,Facebook,Instagram na Twitter.Basi Voda kuna tatizo! Tatizo hili limemtokea jamaa yangu ingawa yeye si wakala!. Ilikuwa hivi alinunua tiketi ya ndege. Baadaye shirika la ndege wakasema tiketi zimeisha wakaamua kumrudishia ela kupitia voda. Voda wakamtumie Sms ela yako imerudi .baadaye anafanya manunuzi, voda wakamwambia hauna salio. Akacheki salio lipolakini akifanya muamala wowote hamna salio. Akawatwangia 100. Wakamjibu fedha zako ziko hewani kuna mambo hayajakaa sawa asubiri siku tatu. Akawatwangia shirika la ndege. Wakasema walishatuma ela hizo .Atarudi voda kwa 100, Wakamjibu kijeuri kwamba hawana la kufanya asubiri siku tatu. Rafiki yangu akaamua kuweka issue public! Akawapandia kwenye account zao zote za mitandao kuhusu suala hilo. Ndani ya nusu saa ela zake zilikuwa tayari zilisharudi.
milioni 3 ukalipia kwa kutumia airtel money?.......ila hapa we wafuate kwenye makao makuu yao, wakikuzingua washitaki, it's worth itYahusu airtel ;wakuu naomba ushauri nimelipia bill ya maji tangu mwezi uliopita kupitia airtel money mpaka leompesa hazijaingia dawasco nimekatiwa maji kila nikiwasiliana na airtell naambiwa wanashughulikia ndani ya nusu nitakuwa sawa tangu mwezi uliopita hadi leo maji nimekatiwa tayari nifanye nini?au niende polisi ni zaidi ya shs 3000000
Njia iliyotumika kukutapeli ni hii, yawezekana kuna siku ulimpatia mteja handset yako unayotumia kutuma pesa akaingiza codes fulani ambazo kila unapofanya muhamala taarifa anazipata, au anaweza kusave number yake kwa jina la M-PESA kwenye simu yako, so kilichotokea baada ya kujua kiasi kilichopo kwa account yako anatengeneza message ambayo itaendana na salio lako, akifanikiwa tu kukutumia message hiyo na wewe ukaipokea ukimpa pesa tu imekula kwako!Mimi ni wakala wa Mpesa vodacom nahitaj msaada wa kisheria wa kuishtaki kampuni ya Vodacom kwa kuniibia Tsh. 300,000/=. Kesi yenyewe ipo hivi; Kuna mteja amekuja kwangu kutoa fedha kupitia mtandao wa Vodacom Mpesa nami kama wakala nimemuhudumia bila shida.
Katika kuhakikisha muamala ni sahihi nimehakikisha nimepokea msg ya kupata float kutoka kwa mteja na mteja amenionyesha msg ya kuthibitisha kwamba muamala wa yeye kutoa fedha kupitia namba yangu wa wakala umekamilika.
Sasa kila nikiangalia balance ile fedha haijafika katika akaunti yangu ya wakala na nikiwauliza Vodacom customer care wanasema muhamala uliofanyika haujasoma katika system yao na wala haupo lkn cha ajabu mihamala mingine yote liyofanyika imeonekana kwenye system yao.
Msg niliyopata ya kuuthibitisha muhamala ninaoudai ni kutoka Mpesa na wala si kutoka private namba na zaidi msg hiyo imetaja mpaka ongezeko la kiasi cha fedha katika akaunti yangu ya wakala ambayo ni sahihi ijapokuwa ongezeko hilo halisomi kwenye akaunti yangu ya biashara ya uwakala.
Kuna uwezekano mkubwa wahudumu wa Vodacom Mpesa wamehack muhamala huu na kuzuia usisome kwenye system hivyo naomba msaada wa kisheria ili niweze kuishtaki kampuni hii.
Ahsanteni