Nahitaji kuwekeza Tsh. Milioni 170

Mkuu,
Kuna kitu sijaelewa hapa naomba unieleweshe. Umesema aweke pesa kwenye bond ambazo kuna wadau wamesema ni 12.5% kwa mwaka. Sasa ukitumia hiyo bond certificate kuchukulia mkopo kama collateral. Na mikopo ya Bongo ni pasua kichwa, kuna mtu aliniambia ni 20%. Sasa si hatakuwa analamba hasara? Naomba unieleweshe hapa labda kuna kitu sikielewi
 
Za jioni wadau,

Naomba mchango wa mawazo yenu, nikiwa na milioni 170 za kitanzania naweza wekeza wapi pesa hii nikapata rejesho lenye tija?

Kwangu mimi rejesho lenye tija ni angalau milioni 2 kwa mwezi.

Natanguliza shukrani.
Kakodi shamba nafco unenepeshe ngombe baada ya mwaka unitumie laki yangu
 
Mkuu inaonekana una uzoefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…