Joao de Matos
JF-Expert Member
- Jun 16, 2022
- 334
- 268
Naona Kama sijaeleweka,Yani hufaham bunduki ina kazi gani mkuu?
Protocol hairuhusu kuelezea hapa
Hiyo double barrel gun ni impractical to use na hapo nadhani imetumika kama show off tu lakini hakuna soldier mwenye Akili akatumia bunduki hiyo vitani.Naona Kama sijaeleweka,
Yani namaanisha hasa hii ya pili
Ni bunduki ina yani niseme sehemu mbili za kutoa risasi
Sasa nilikuwa nahitaji kujua sababu ya kuweka hivyo, na ni kwa Nini hiwe hivyo.
FANYENI KAZIHi inaitwa Tavor,
Naomba kuifahamu zaidi kuwa ina inauwezo gani na Ni Aina gani.
View attachment 2268065
Ya pili Ni hi
Inaitwa double barrel Gilboa snake rifle,
Sijaelewa inakazi gani maana Naina in sehemu mbili za kutoa risasi Sasa sijajua inakazi gani.
View attachment 2268067
Na nimeona hata Jwtz wanaitumia Sasa sijajua inakazi gani.
View attachment 2268068
View attachment 2268080View attachment 2268080
Siajua hizo Zina kazi gani au Ni Kama tuu zile za kawauda zenye sehemu moja ya tolea risasi au?
kaz yake nikuwaHi inaitwa Tavor,
Naomba kuifahamu zaidi kuwa ina inauwezo gani na Ni Aina gani.
View attachment 2268065
Ya pili Ni hi
Inaitwa double barrel Gilboa snake rifle,
Sijaelewa inakazi gani maana Naina in sehemu mbili za kutoa risasi Sasa sijajua inakazi gani.
View attachment 2268067
Na nimeona hata Jwtz wanaitumia Sasa sijajua inakazi gani.
View attachment 2268068
View attachment 2268080View attachment 2268080
Siajua hizo Zina kazi gani au Ni Kama tuu zile za kawauda zenye sehemu moja ya tolea risasi au?
Boss hapa jukwaani utachanganywa tu... Take your time ingia Youtube kula elimu I hope utapata zaidi ya unachouliza.Naona Kama sijaeleweka,
Yani namaanisha hasa hii ya pili
Ni bunduki ina yani niseme sehemu mbili za kutoa risasi
Sasa nilikuwa nahitaji kujua sababu ya kuweka hivyo, na ni kwa Nini hiwe hivyo.
Hakuna mtu asiyelewa kazi ya bunduki Soma vizuri utaelewaYani hujui bunduki ina kazi gani we ni kilaza mkubwa