Nahitaji kwenda Gerezani! Kifungo kisichozidi miezi 6. Nitende Kosa Gani?

Nahitaji kwenda Gerezani! Kifungo kisichozidi miezi 6. Nitende Kosa Gani?

Mengi yanazungumzwa kuhusu Gerezani, Sasa mimi nahitaji nikajionee, sitaki hadithi.

Ni kosa lipi nikitenda, litanifanya niende Jela japo kwa wiki kadhaa? (isizidi miezi sita).
Nataka nikapate uzoefu wa mambo kadha wa kadha huko Jela.

Nawasilisha!
Mtukane jiwe kwenye mitandao ya kijamii utakuja kunyakuliwa
 
Hiyo avatar ni wewe mkuu, naona umeingia humu kwa fujo
 
Nenda kateremshe Bendera kituoni then utoke mbio...kama ukimzidi mbio Afande wa kituoni unaenda kwenye kambi ya FFU kujaribu bahati yako tena.

Utaiona yu nguvu ya buku!
 
tafuta mkaa nenda kachore chore kuta za polisi matusi makubwa yasiyopungua 5
 
Endesha gari bila leseni...

Ukikamatwa usikaidi kwenda kituoni...

Ukifika kituoni kubali kufunguliwa jalada na kupelekwa mahakamani...

Mahakamani ukishatajiwa hukumu yako ya kulipa fine ya hapo kwa papo au kifungo cha miezi sita... chagua kifungo cha miezi sita...


Cc: mahondaw
 
Nenda huko gerezani then mpe mfungwa hela.Nadhani hata mahakamani hutapelekwa,utavuliwa nguo na kuvishwa za magereza miezi 3
 
we kohoa kohoa hovyo tu kitu kitajipa
 
Gawa rinda lako hadharani utapata unachokitafuta
 
Nakuhakikishia mpaka mdomo huwa unaumba kwakuwa umekiomba mwenyewe kifungo kuanzia Leo Hadi tarehe Kama ya leo mwakani lazima utatumikia kifungo...mbaya zaidi kinaweza kuzidi miezi uliyoomba...hakikisha unatengua hii kauli mapema iwezekanavyo
 
Nakuhakikishia mpaka mdomo huwa unaumba kwakuwa umekiomba mwenyewe kifungo kuanzia Leo Hadi tarehe Kama ya leo mwakani lazima utatumikia kifungo...mbaya zaidi kinaweza kuzidi miezi uliyoomba...hakikisha unatengua hii kauli mapema iwezekanavyo
 
Tuna muhitaji mwanasheria atusaidie....MFANO HUYU....BWANA....AKIENDA MAHAKAMANI KUJISHITAKI MWENYEW KUA ANAISHI KIMAKOSAA AKAWEKAA POINT ZAKEEE ... HOPE ANAWEZAA PATA PA KUANZIAAA??
 
Back
Top Bottom