Nahitaji kwenda Zanzibar kupiga mishe za vibarua

Nahitaji kwenda Zanzibar kupiga mishe za vibarua

AFRICAN BOYI

Senior Member
Joined
Dec 9, 2019
Posts
119
Reaction score
338
Wakuu habari zenu,

Nimekuwa nikitafuta mishe yoyote ya kupiga hapa mjini bongo bila mafanikio yoyote yale, awali nilikuwa napiga mishe za saidia fundi. Ubaya wa hizi mishe hapa bongo ni utapata leo Kisha utakaa sana mpaka upate kazi nyingine. Angalau zile za kuweka Kambi mpaka miezi miwili huko mtu unakomaa ukitoka unatoka na kitu kweli,kama kuna mdau ana connection ya hizo mishe za kambi msaada tafadhali. Nina uhitaji wa kazi kweli.

Baada ya kuona huku bongo mambo yanakuwa magumu sasa nimeamua nielekee huko zenji kupiga vibarua ama mishe yoyote Ile angalau nipate chochote kitu ata ikiwa 10k ama 15k Kwa siku sawa tu. Wenyeji wa huko ni maeneo yapi yana fursa za vibarua. Ama mnaweza nishauri naweza fanya nini huko tofauti na hizo mishe za vibarua.

Niko tayari kutoka huku bongo muda wowote endapo nitapata muongozo sahihi, maana hapa nipo tu mambo magumu wakuu. Natoka Kila siku lakini bado ni bila bila nimeona bora nibadili uelekeo.
 
Wakuu habari zenu,

Nimekuwa nikitafuta mishe yoyote ya kupiga hapa mjini bongo bila mafanikio yoyote yale, awali nilikuwa napiga mishe za saidia fundi. Ubaya wa hizi mishe hapa bongo ni utapata leo Kisha utakaa sana mpaka upate kazi nyingine. Angalau zile za kuweka Kambi mpaka miezi miwili huko mtu unakomaa ukitoka unatoka na kitu kweli,kama kuna mdau ana connection ya hizo mishe za kambi msaada tafadhali. Nina uhitaji wa kazi kweli.

Baada ya kuona huku bongo mambo yanakuwa magumu sasa nimeamua nielekee huko zenji kupiga vibarua ama mishe yoyote Ile angalau nipate chochote kitu ata ikiwa 10k ama 15k Kwa siku sawa tu. Wenyeji wa huko ni maeneo yapi yana fursa za vibarua. Ama mnaweza nishauri naweza fanya nini huko tofauti na hizo mishe za vibarua.

Niko tayari kutoka huku bongo muda wowote endapo nitapata muongozo sahihi, maana hapa nipo tu mambo magumu wakuu. Natoka Kila siku lakini bado ni bila bila nimeona bora nibadili uelekeo.
Kazi za ujenzi Zanzibar zipo nyingi Sana ni wewe tu ,
 
Wakuu habari zenu,

Nimekuwa nikitafuta mishe yoyote ya kupiga hapa mjini bongo bila mafanikio yoyote yale, awali nilikuwa napiga mishe za saidia fundi. Ubaya wa hizi mishe hapa bongo ni utapata leo Kisha utakaa sana mpaka upate kazi nyingine. Angalau zile za kuweka Kambi mpaka miezi miwili huko mtu unakomaa ukitoka unatoka na kitu kweli,kama kuna mdau ana connection ya hizo mishe za kambi msaada tafadhali. Nina uhitaji wa kazi kweli.

Baada ya kuona huku bongo mambo yanakuwa magumu sasa nimeamua nielekee huko zenji kupiga vibarua ama mishe yoyote Ile angalau nipate chochote kitu ata ikiwa 10k ama 15k Kwa siku sawa tu. Wenyeji wa huko ni maeneo yapi yana fursa za vibarua. Ama mnaweza nishauri naweza fanya nini huko tofauti na hizo mishe za vibarua.

Niko tayari kutoka huku bongo muda wowote endapo nitapata muongozo sahihi, maana hapa nipo tu mambo magumu wakuu. Natoka Kila siku lakini bado ni bila bila nimeona bora nibadili uelekeo.
Ukiweza nenda ukanda wa pwami wanakojenga hotel za kitalii,

Kuanzia Jambiani, Paje hadi Michamvi kuna site nyingi mafundi wameweka kambi,
Malipo kwa vibarua ni kati elfu 15 na 20, kwa siku, pia site nyingine wanatoa chakula cha mchana,

Kila la kheri mkuu,

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Shukrani sana mkuu, wewe upo zenji?
Ukiweza nenda ukanda wa pwami wanakojenga hotel za kitalii,

Kuanzia Jambiani, Paje hadi Michamvi kuna site nyingi mafundi wameweka kambi,
Malipo kwa vibarua ni kati elfu 15 na 20, kwa siku, pia site nyingine wanatoa chakula cha mchana,

Kila la kheri mkuu,

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Baada ya kuona huku bongo mambo yanakuwa magumu sasa nimeamua nielekee huko zenji kupiga vibarua ama mishe yoyote Ile angalau nipate chochote kitu ata ikiwa 10k ama 15k Kwa siku sawa tu. Wenyeji wa huko ni maeneo yapi yana fursa za vibarua. Ama mnaweza nishauri naweza fanya nini huko tofauti na hizo mishe za vibarua.
Ukikaa karibu na waridi utanukia waridi, kuna uzi humu unazungumzia sifa mbaya za hicho kisiwa tangu wakati wa Sultan aliyehifadhiwa UK, kwamba hata Samia amekwazika na hiyo tabia ila hana cha kufanya maana imeshika kasi.
 
Sifa zipi mbaya mkuu?
Ukikaa karibu na waridi utanukia waridi, kuna uzi humu unazungumzia sifa mbaya za hicho kisiwa tangu wakati wa Sultan aliyehifadhiwa UK, kwamba hata Samia amekwazika na hiyo tabia ila hana cha kufanya maana imeshika kasi.
 
Nipe location ni wapi ili nikitoka hapa niende moja kwa moja.
Popote unakotoka hakikisha una kitambulisho chochote, ukishuka bandarini Malindi chukua bike mwambie akupeleke kariakoo au mwemberadu stendi ya shamba (maana darajani zilisha ondoshwa).

Ukifka hapo mdipo chagua poli la kwenda kulingana na maelekezo ya mdau hapo juu.

Muda mzuri wa kutoka Dar kwenda Unguja ni wewe uondoke na boat ya saa tatu (3:00) asubuhi ili uwe na muda mwingi wa mchana kufanya uchunguzi wako wa maisha mapya kuliko kufika jioni sana.

Ulifanikiwa naomba tupe mrejesho nije kama mlowezi.
 
Shukrani sana mkuu, kwa hiyo hapo Mwemberadu ama Kariakoo ndio kuna njia kuelekea huko kwenye mishe za vibarua? Vipi nauli kutoka Dsm mpaka zenji, vipi una ufahamu kuhusu hicho kisiwa? Kuna mambo ya msingi nahitaji kuuliza
Popote unakotoka hakikisha una kitambulisho chochote, ukishuka bandarini Malindi chukua bike mwambie akupeleke kariakoo au mwemberadu stendi ya shamba (maana darajani zilisha ondoshwa).

Ukifka hapo mdipo chagua poli la kwenda kulingana na maelekezo ya mdau hapo juu.

Muda mzuri wa kutoka Dar kwenda Unguja ni wewe uondoke na boat ya saa tatu (3:00) asubuhi ili uwe na muda mwingi wa mchana kufanya uchunguzi wako wa maisha mapya kuliko kufika jioni sana.

Ulifanikiwa naomba tupe mrejesho nije kama mlowezi.
 
Mkuu naenda zenji kwa malengo, na kule naenda kujitafuta ili angalau nipate mtaji. Mikakati yangu baada ya kupata mtaji nisha uandika kwenye kitabu changu cha kumbukumbu. Kwa hiyo kule nataka nikakaze angalau miezi miwili ama mitatu kisha nitaingia kwenye mpango wangu nilio uchora kikamilifu. Mungu ni mwema wakati wote
Zanzibar ukifika jitahidi usave hela upate kuanzia 300k then uwe unakuja DSM unanunua Mbuzi Unaenda kuuza zenji .


Kazi ya saidia fundi ifanye Kwa malengo Ila usiifanye Kama kazi official
 
Mkuu naenda zenji kwa malengo, na kule naenda kujitafuta ili angalau nipate mtaji. Mikakati yangu baada ya kupata mtaji nisha uandika kwenye kitabu changu cha kumbukumbu. Kwa hiyo kule nataka nikakaze angalau miezi miwili ama mitatu kisha nitaingia kwenye mpango wangu nilio uchora kikamilifu. Mungu ni mwema wakati wote
Mungu akutangulie
 
Shukrani mkuu, nitabeba ata kitambulisho Cha kuzaliwa. Kwa hiyo mkuu kule ishu za vibarua ni uhakika? Kwa malipo ya 15k kwa siku nikikaza miezi mitatu nitakuwa nimepata kitu Cha kuanzia.
Economic haizidi 30k to 35k Kama mdau alivyokuambia hapo juu usisahu kitambulisho.
 
Back
Top Bottom