Nahitaji laptop Nina 350000 Tsh

Nahitaji laptop Nina 350000 Tsh

Kuna

Kuna JAMAa hapa anataka kuniuzia dell latitude 5410 ni 10 generation nadhani ila imekufa SSD tu,kwa 300,000..hapo vipi mkuu
10th gen hii iligawanyika mara mbili mkuu

Cpu zinazoishiwa na U haina maajabu sana ni sawa na Gen ya 8, ila still ni nzuri kwa hio bei

Cpu zinazoishiwa na G na namba kwa mbele kama G1 ama G7 etc hii ni nzuri sababu ina graphics kadi ya iris ndani ambayo ni nzuri kuliko intel HD.

So mkuu angalia processor inaishiwa na U ama G, na kama ni U ni i3 ama i5/i7? Kama ni i3 haina issue kama ni i5/i7 sio mbaya.
 
10th gen hii iligawanyika mara mbili mkuu

Cpu zinazoishiwa na U haina maajabu sana ni sawa na Gen ya 8, ila still ni nzuri kwa hio bei

Cpu zinazoishiwa na G na namba kwa mbele kama G1 ama G7 etc hii ni nzuri sababu ina graphics kadi ya iris ndani ambayo ni nzuri kuliko intel HD.

So mkuu angalia processor inaishiwa na U ama G, na kama ni U ni i3 ama i5/i7? Kama ni i3 haina issue kama ni i5/i7 sio mbaya.
Ni i7
 
IMG_20241206_174003.jpg
 
10th gen hii iligawanyika mara mbili mkuu

Cpu zinazoishiwa na U haina maajabu sana ni sawa na Gen ya 8, ila still ni nzuri kwa hio bei

Cpu zinazoishiwa na G na namba kwa mbele kama G1 ama G7 etc hii ni nzuri sababu ina graphics kadi ya iris ndani ambayo ni nzuri kuliko intel HD.

So mkuu angalia processor inaishiwa na U ama G, na kama ni U ni i3 ama i5/i7? Kama ni i3 haina issue kama ni i5/i7 sio mbaya.
Mkwa chief naomb no yako ya WhatsApp please nahitaji msaada wako mzee
 
Dell 3440✅
Core i5✅
Ram 4GB✅

Ssd 128GB✅

Battery life masaa 3 hadi 5🔥

Kioo inch 14’

250,000/=
 

Attachments

  • IMG-20241120-WA0003(1).jpg
    IMG-20241120-WA0003(1).jpg
    124.8 KB · Views: 3
  • IMG-20241120-WA0005(1).jpg
    IMG-20241120-WA0005(1).jpg
    117.9 KB · Views: 2
Back
Top Bottom