Nahitaji LOGO ya Biashara, Motion na Logo ya kawaida Wakufunzi wa After Effect naomba mnisaidie

Nahitaji LOGO ya Biashara, Motion na Logo ya kawaida Wakufunzi wa After Effect naomba mnisaidie

The bump

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2019
Posts
1,488
Reaction score
2,908
Biashara yangu ina Jina lakini haina Logo nimekua nikiwaza kuhusu hili muda mrefu lakini sikua nalipa kipaumbele sana ila sasa naona linaelekea kuni cost huko mbeleni.

Sina pesa wakuu naommba yeyote ataechukua MUDA wake kunipa design nzuri ya LOGO zile za motion kama maandishi ya ITV yanavyojigeuza geuza au WASAFI zile triangle zinavyojiunga unga,nk

yeyote ataeweza nisaidia hili najua namna inaumiza kichwa na akili,nitatoa ASANTE ya 50,000 hii sio kwamba namlipa kwa kazi yake ila ni asante tu ila huko mbeleni namuahidi nitampa mara 5 ya hiii endapo nitaipitisha RASMI.

logo yoyote nitakayoipitisha NITAILIPIA 300,000 lakini kwa mwanzo huu ninapozikusanya nitatoa asante ya 50,000 tu.

Logo nitakayoipitisha nitaiweka Hadharani hapa ili wengine mumjue mbunifu wetu ambae namini kwa kazi kubwa atayoifanya atapata pongezi na hata KAZI pia kwa wenye uhitaji wa mtu wa design.

Kwasasa Msaada wenu watu wa Graphics.... Asante yangu ni 50,000 hiii ni ahadi iliyo wazi kwa logo nitakayoipitisha.

1.Picture Logo
2.Motion Logo

ASANTENI
 
Mkuu,Sasa Mtu atadesign Logo kwa Kutumia JINA GANI?Weka Jina La biashara,Aina ya Biashata then Kama Una any requirements maalum basi unasema.Vinginevyo hata ukiletewa LOGo MIA unaweza ukachagua ambayo haiongie.

Logo Lazima Iongee tena Kwa Sauti Kubwa Sna
 
Nipe jina unalofanyia kazi....
Ili ni ingine mitamboni muda huu...

Najua kudhulumiwa ni 99.99% ukimtumia mtu kazi b4 payment lakini let me trust in you......
 
Nipe jina unalofanyia kazi....
Ili ni ingine mitamboni muda huu...

Najua kudhulumiwa ni 99.99% ukimtumia mtu kazi b4 payment lakini let me trust in you......
NAKUAHIDI 99% Nikikudhulumu nipost hapa JF na ni report JamiiForums kwamba mimi ni tapeli mdhulumati

nakutumia PM details
 
Mkuu,Sasa Mtu atadesign Logo kwa Kutumia JINA GANI?Weka Jina La biashara,Aina ya Biashata then Kama Una any requirements maalum basi unasema.Vinginevyo hata ukiletewa LOGo MIA unaweza ukachagua ambayo haiongie.

Logo Lazima Iongee tena Kwa Sauti Kubwa Sna
ni kweli mkuu akipatikana mtu namtumia details pm mkuu,sikutaka kuweka hapa hadharan
 
Back
Top Bottom