Nahitaji mafuta ya nazi kuanzia lita 1000

Nahitaji mafuta ya nazi kuanzia lita 1000

Nahitaji mafuta ya nazi in bulky kuanzia lita 1000 na kuendelea,aliyenayo atoe offer yake
Kama upo Dar nenda kwa wauzaji rejareja km Kkoo uulize wananunua wapi au wazalishaji wanakopatikana uende
 
Unasumbuliwa na dalali. Hawa huwa wapuuzi sana.

Sijui hata unahangaika na nini

22,000 aende kariakoo Kama atapata hiyo bei kwa pure coconut oil


Hiyo namnunulia nazi naandaa namtengenezea mafuta analipia per lita

Kama anahitaji ya kupika aende atapata Kariakoo.
 
Sijui hata unahangaika na nini

22,000 aende kariakoo Kama atapata hiyo bei kwa pure coconut oil


Hiyo namnunulia nazi naandaa namtengenezea mafuta analipia per lita

Kama anahitaji ya kupika aende atapata Kariakoo.
Sihangaiki namshauri. Ikiwa wewe ni mzalishaji basi ni rahisi tu, umepata mteja. Shughulika nae kutosheleza order yake.
 
Sijui hata unahangaika na nini

22,000 aende kariakoo Kama atapata hiyo bei kwa pure coconut oil


Hiyo namnunulia nazi naandaa namtengenezea mafuta analipia per lita

Kama anahitaji ya kupika aende atapata Kariakoo.
Ntakucheki jioni mkui
 
Nahitaji mafuta ya nazi in bulky kuanzia lita 1000 na kuendelea,aliyenayo atoe offer yake
Extra Virgin Coconut oil 20,000 kwa Lita

89B4FF1A-F471-4DB6-8FF1-09C327C83489.jpeg
 
Sijui hata unahangaika na nini

22,000 aende kariakoo Kama atapata hiyo bei kwa pure coconut oil


Hiyo namnunulia nazi naandaa namtengenezea mafuta analipia per lita

Kama anahitaji ya kupika aende atapata Kariakoo.
Nilikushangaa ulivyoraja hiyo bei.
 
Nenda kisiju utapata mengi yanatoka mafia ama Nenda mafia yapo ya kutosha.
 
Back
Top Bottom