GAS STATE
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 1,770
- 954
Assalam wana jukwaa
kichwa chajieleza, nina mzigo mkavu/cargo upo DSM lengo ni kuusafirisha hadi mikoani hivyo nahitaji magari makubwa yanisafirishie. magari yawe na sifa zifuatazo
i/makubwa yenye uwezo wa kubeba tani 25-40
ii/yenye vibali vyote muhimu vya serikali ie SUMATRA na BIMA nk
iii/kwa kuwa yanahitajika mengi, wenye mengi watapewa kipaumbele
iv/kuwa tayari kwenda mkoa wowote TZ au hata nje ikilazimika
v/malipo ni kwa tani na itakuwa maelewano
V/advance ipo ya posho ya dereva, mafuta nk
FURSA HIYO TUITUMIE
maelezo zaidi njoo PM
kichwa chajieleza, nina mzigo mkavu/cargo upo DSM lengo ni kuusafirisha hadi mikoani hivyo nahitaji magari makubwa yanisafirishie. magari yawe na sifa zifuatazo
i/makubwa yenye uwezo wa kubeba tani 25-40
ii/yenye vibali vyote muhimu vya serikali ie SUMATRA na BIMA nk
iii/kwa kuwa yanahitajika mengi, wenye mengi watapewa kipaumbele
iv/kuwa tayari kwenda mkoa wowote TZ au hata nje ikilazimika
v/malipo ni kwa tani na itakuwa maelewano
V/advance ipo ya posho ya dereva, mafuta nk
FURSA HIYO TUITUMIE
maelezo zaidi njoo PM