Nahitaji Makadirio ya Vifaa (BoQ) Kwa Ramani hii (Nitakulipa)

Nahitaji Makadirio ya Vifaa (BoQ) Kwa Ramani hii (Nitakulipa)

Mangi wa Rombo

Senior Member
Joined
Sep 25, 2014
Posts
191
Reaction score
129
Habari Wakuu,

Kama kichwa Cha Habari kinavojieleza.

Nataka kuanza ujenzi wa Nyumba huko kwetu uchagani, wazee wa ukoo wamenikalia kooni, hii December nisiende kama hata ka-msingi sijaweka hapo mgombani (Just Kidding 😀).

Nahitaji Mtu ambaye atanisaidia kutengeneza Makadirio ya vifaa (A Bill of Quantities (BoQ) kama wanavoita ma-fundi wabobezi).

Bei sio lazima ziwe accuracy sana, nmeshajenga vinyumba kadha hapa Daslam so najua vichochoro vya kutafuta materials ila nachohitaji ni materials estimations ziwe za uhakika.

Nitakutumia full Map whatsap au kwa email kama tutaelewana ila hapa naweka ka video na picha kukupa idea. (Wabongo wezi wa ramani😜)

Tafadhali kama wewe ni expert wa kuandaa BoQ niandikie kwenye whatsapp +255746260499. Nitakulipa, sio bure 😜😜.

Screenshot 2024-09-11 192016.png
 
Ahsanteni wakuu! Nmeshapata expat!! Ahsante kwa wote walionicheki!!!
 
Mangi acha ushamba.
Hakuna mtu atakupa makadirio kwa ramani hiyo.
Kama kuna mtu atajifanya anaweza huyo ni mwizi.

Weka:
1. Floor plan drawing
2. Structural drawing

Vikiwepo hivyo ndipo uombe makadirio.
 
Mangi acha ushamba.
Hakuna mtu atakupa makadirio kwa ramani hiyo.
Kama kuna mtu atajifanya anaweza huyo ni mwizi.

Weka:
1. Floor plan drawing
2. Structural drawing

Vikiwepo hivyo ndipo uombe makadirio.
Ndugu ahsante kwa lugha nzito, ila two things:
1. Sijui unajua kusoma, manake nimeandika vizuri kwenye uzi wangu kuwa nitakaye kubaliana nae nitamtumia ramani complete inbox or whatsApp, sasa sielewi kwa nini unakomaa niweke ramani hapa? au wewe ndo hao watu nmesema hapo 😀 (vibaka wa ramani..)
2. Nimeshapata mtu na kazi ameshaanza. Punguza jazba, weekend hii nenda ukanywe hata serengeti lite mbili, mapigo ya moyo yatakaa sawaaa!
 
Wachagga kwa ubahili hamjambo.

Sasa hii nayo ni nyumba au kontena la vifaa vya ujenzi?
 
Ndugu ahsante kwa lugha nzito, ila two things:
1. Sijui unajua kusoma, manake nimeandika vizuri kwenye uzi wangu kuwa nitakaye kubaliana nae nitamtumia ramani complete inbox or whatsApp, sasa sielewi kwa nini unakomaa niweke ramani hapa? au wewe ndo hao watu nmesema hapo 😀 (vibaka wa ramani..)
2. Nimeshapata mtu na kazi ameshaanza. Punguza jazba, weekend hii nenda ukanywe hata serengeti lite mbili, mapigo ya moyo yatakaa sawaaa!
Hahahaha
 
Back
Top Bottom