Thank ila mm mkaka sio dada jamanUcjal dada tupo pamoja wenye hali kama zako na tuko happy tunafurahia maisha... kikubwa uzima tu
una miaka mingapia up to nowStress ni kitu kibaya sana na siku zote hushusha CD4 pindi unapo kuwa na mawazo Mimi nahitaji friends wa kupoteza mawazo mabaya kuchat, kucheka nao na kubadilishana mawazo, but nili zaliwa nayo hii kitu sasa changamoto zimefanya nipoteze baadh ya vitu muhim na kupelekea kuwa na HIGH VIRAL LOAD[emoji20] [emoji20] [emoji20]
zabibuandrew5@gmail.com
Find me [emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]
wenzako wanapona kwa habat soda dawa zipo ila kimya kimya sanaa sababu serikal inahitaj kufanya kaz na ina mikataba na mshirika ya afya ya dawa za ukimw ukitangaza dawa zako utaharibu sokoThank ila mm mkaka sio dada jaman
Kumbe ndio huyu wa KCMC?Ucjal dada tupo pamoja wenye hali kama zako na tuko happy tunafurahia maisha... kikubwa uzima tu