NAHITAJI MARAFIKI JAMANI TUONDOLEANE UPWEKE(stress)

NAHITAJI MARAFIKI JAMANI TUONDOLEANE UPWEKE(stress)

Dogo G

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2018
Posts
1,052
Reaction score
440
Mambo vipi wadau,kichwa kinajieleza,mimi ni kijana mdogo tu nahitaji marafiki vijana kwaajili ya kubadilishana mawazo(hususani wasichana sio wanawake) na ni kiurafiki tuu kwaajili ya kubadilishana mambo mbalimbali ya kimaisha ili tufikie malengo.

NB:Ntapenda zaidi nikiwapata wanaotokea maeneo ya kusini i.e Mbeya,Iringa,njombe,songea na kwingineko.
1533541098918.jpg
 
Kwa iyo marafiki wa kubadilishana nao mawazo hili kufikia marengo ni wasichana.....? Na si wanawake wenye kujitambua na kujua mengi kuusu maisha.....au unamaanisha mawazo ya kimausiano wa kimapenzi...? Pia umechagua na mikoa kwa hiyo hiyo mikoa ndiyo wanapatikana wasichana wenye mawazo mazuri...? Ebu tufafanulie hapa....[emoji113]
 
Kwa iyo marafiki wa kubadilishana nao mawazo hili kufikia marengo ni wasichana.....? Na si wanawake wenye kujitambua na kujua mengi kuusu maisha.....au unamaanisha mawazo ya kimausiano wa kimapenzi...? Pia umechagua na mikoa kwa hiyo hiyo mikoa ndiyo wanapatikana wasichana wenye mawazo mazuri...? Ebu tufafanulie hapa....[emoji113]
[emoji23] [emoji23] si wasichana tuu hata wanaume ila wapatikane katika maeneo hayo tajwa.nimepreffer hayo maeneo kwasababu ndiko nakopatikana mimi hivyo kurahisisha mchakato wa kuonana.
 
Back
Top Bottom