Nahitaji marafiki wa ku-chat nao

Nahitaji marafiki wa ku-chat nao

You deserve kila kitu kizuri na kwa uliyopitia hapo katika hakuna budi ukipata mtu atakaye kufanya ujisikie vile unahisi inatakiwa ujisikie
Hya bhna nashukuru kusikia hvo so hapia hapa live kuwa utayatoa machungu yote niliyo nayo
 
Hya bhna nashukuru kusikia hvo so hapia hapa live kuwa utayatoa machungu yote niliyo nayo
Machungu yamegawanyika katika vipengele vingi!, Najua tutawekana sawa mbele ya safari.Ila naapia kuyatoa machungu yako na kusahau yale yote ulopitia kadri ya uwezo wangu wote
 
Machungu yamegawanyika katika vipengele vingi!, Najua tutawekana sawa mbele ya safkri.Ila naapia kuyatoa machungu yako na kusahau yale yote ulopitia kadri ya uwezo wangu wote
Thank you[emoji257]
 
Machungu yamegawanyika katika vipengele vingi!, Najua tutawekana sawa mbele ya safkri.Ila naapia kuyatoa machungu yako na kusahau yale yote ulopitia kadri ya uwezo wangu wote
Wajumbe wameshuhudia watakuwa mashaidi kwa ili[emoji56]
 
Back
Top Bottom