Nahitaji marafiki wa ku-chat nao

Yah! Naona kabisa iyo energy kwa uandishi wako, niliona ile post yako sema ikabidi niwe mpole kwanza, sema unahitaji mtu wa kukufanyia handling za kigeti geti kama ulivyosema we mtoto wa geti kali. Niko hapa hata kwa long shot kama itawezekana
[emoji23][emoji23][emoji23] ndo iko ulicho tamani kunishauri
 
Yah! Naona kabisa iyo energy kwa uandishi wako, niliona ile post yako sema ikabidi niwe mpole kwanza, sema unahitaji mtu wa kukufanyia handling za kigeti geti kama ulivyosema we mtoto wa geti kali. Niko hapa hata kwa long shot kama itawezekana
Kwa hyo we uko tyr?
 
Asante! Official announcement uzi umefungwa na PM imefungwa pia waungwana...ila iko wazi kwaajili ya mimi
[emoji56][emoji56][emoji56]na enjoy tu mimi jmn hya tupo wenyewe tu tia nia [emoji5]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…