Nahitaji marafiki

Nahitaji marafiki

Njoo
Hellow nahitaji marafiki wa kubadilishana mawazo ikiwezekana tujenge undugu kabisaa, jinsia yyt. Umri wwt ,naamini katika kukutana na watu vingi tunajifunza.

PS Wale wa kusema mtaani kwenu hawapo sijui ,naomba mniache kidg
 
Hellow nahitaji marafiki wa kubadilishana mawazo ikiwezekana tujenge undugu kabisaa, jinsia yyt. Umri wwt ,naamini katika kukutana na watu vingi tunajifunza.

PS Wale wa kusema mtaani kwenu hawapo sijui ,naomba mniache kidg
Your welcome friend, am here
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]umenichekesha, mi hata sina hizo nakuja na maji yangu tu kwenye chupa
Ili kukomesha, nakushauri ubebe maji yako hata kwenye ndoo...teh[emoji23][emoji23]
 
Hellow nahitaji marafiki wa kubadilishana mawazo ikiwezekana tujenge undugu kabisaa, jinsia yyt. Umri wwt ,naamini katika kukutana na watu vingi tunajifunza.

PS Wale wa kusema mtaani kwenu hawapo sijui ,naomba mniache kidg
Nipm rafiki yangu,
Nimeshindwa kukupm.
 
Hellow nahitaji marafiki wa kubadilishana mawazo ikiwezekana tujenge undugu kabisaa, jinsia yyt. Umri wwt ,naamini katika kukutana na watu vingi tunajifunza.

PS Wale wa kusema mtaani kwenu hawapo sijui ,naomba mniache kidg
Whenever you need me
Whenever want me,
You know you can call me, I'll be there shortly
Don't care what your friends say, 'cause they don't know me
I can be your best friend, and you be my homie.
You're welcome.
 
Kama una akili kubwa ya utafutaji nitafute nipo nnje ya nchi Njoo pm utapata namba yangu
 
Sijui nishachelewa Sara? Au bado nafasi marafiki zipo wazi?
 
Hellow nahitaji marafiki wa kubadilishana mawazo ikiwezekana tujenge undugu kabisaa, jinsia yyt. Umri wwt ,naamini katika kukutana na watu vingi tunajifunza.

PS Wale wa kusema mtaani kwenu hawapo sijui ,naomba mniache kidg
Nipo hapa..
 
Hahaha
Dah! Yani wewe huna gharama... Wewe ndio unafaa kutolewa outing!
Niliwahi kuwatoa wadada flani outing, wacha waanze kuagiza mavinywaji ya gharama! Zile chupa za elfu hamsini, mwingine ya laki! Nikaenda chooni bwana. Si wakajua nakimbia bili. Kurudi nakuta wameyarudisha na wameagiza Soda. Nikasema hapa sasa tutakwenda sawa!
 
Wiz khalifa
Whenever you need me
Whenever want me,
You know you can call me, I'll be there shortly
Don't care what your friends say, 'cause they don't know me
I can be your best friend, and you be my homie.
You're welcome.
 
Back
Top Bottom