Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Mtendee wema tu mkuuAaahhaaa We endeleq na mada za kuponda madada,hujui hao ndio wanaojua machimbo ona sasa wanavyokuzoom tu☺️☺️
Kumbe mshanikalili aisee.! nilifikiri huku kwenye majukwaa mengine sijulikaniAaahhaaa We endeleq na mada za kuponda madada,hujui hao ndio wanaojua machimbo ona sasa wanavyokuzoom tu☺️☺️
Shukrani sana mkuu.. nawajua hao woiso sema nilielekezwa duka lao la salasala., sasa kutoka huku kwangu chang'ombe mpaka salasala ni umbali mrefu ukizingatia kwamba sina muda mpaka jpl ambayo ni siku ya kushinda na familia.. ngoja ni-adjust ratiba ili alhamis au ijumaa nifike pale manzeseNenda manzese hapo Darajani ulizia duka linaitwa Woiso lipo upande wa gari zinaenda Shekilango.