Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,092
- 8,784
Wakuu, kama thread inavyojieleza natafuta mayai ya kienyeji au ya chotara kwa ajili ya kula, nitakuwa nanunua kwa tray moja moja.
Iwe bei ya jumla Mwenye nayo anipe ujumbe inbox 0621832691 napatikana Moshi mjini na Kibosho.
Asanteni.
Iwe bei ya jumla Mwenye nayo anipe ujumbe inbox 0621832691 napatikana Moshi mjini na Kibosho.
Asanteni.