Eligi
Senior Member
- Mar 7, 2013
- 167
- 15
Wapendwa nijulisheni wapi naweza kupata mayai kwa ajili ya kutotolesha.
●Aina ya mayai- yawe ya kuku aina ya hampshire.
●Au chotara yoyote- iwe dual-purpose.
●Au aina nyingine nzuri.(vizuri aina ikafahamika/ikatambulika)
Mwenye ufahamu ani-PM tufanye biashara.
●Aina ya mayai- yawe ya kuku aina ya hampshire.
●Au chotara yoyote- iwe dual-purpose.
●Au aina nyingine nzuri.(vizuri aina ikafahamika/ikatambulika)
Mwenye ufahamu ani-PM tufanye biashara.