Nahitaji mbegu za fensi ya michongoma

Nahitaji mbegu za fensi ya michongoma

Fido blyze

New Member
Joined
Aug 14, 2017
Posts
3
Reaction score
2
Habari za utaftaji ndug zangu
nipo katika maandalizi ya vitalu vya upandaji miti ya fensi kwaajil ya kuzungushia uzio shambani

Changamito ni upatikanaji wa mbegu za fensi ya michongoma au kwa jina lingine fensi ya arusha
miche yake ikiwa mikubwa hutoa miba mirefu na urefu wa miiba yake unaweza kufikia had inch mbili au zaid

Naomba kwa yeyote mwenye mbegu zake au anaefahamu zinapo patikana tuwasiliane pm
FB_IMG_1721737417502.jpg
 
Mkuu kama vip fika kwa wale jamaa wanaouza miche ya michongoma utapata mbegu japo bei yake ni around 30,000/ - 40,000/ per kg
 
Mkuu kama vip fika kwa wale jamaa wanaouza miche ya michongoma utapata mbegu japo bei yake ni around 30,000/ - 40,00

Mkuu kama vip fika kwa wale jamaa wanaouza miche ya michongoma utapata mbegu japo bei yake ni around 30,000/ - 40,000/ per kg
nipatie namba zao mkuu nitanunua tu kwa hiyo bei sina namna
 
Back
Top Bottom