Nahitaji mbia kwenye biashara ya kuuza asali Kenya

shafii77

Member
Joined
Mar 18, 2019
Posts
60
Reaction score
85
Habari wadau, ninahitaji mfanyabiashara wa asali au mfugaji wa nyuki ambae ana vibali stahiki vya kuuza na kusafirisha maana nina wafanyabiashara wapo kenya wanasafirisha asali kwenda dubai n.K, hvyo nahtaji mtu wa kushirikiana nae soko tayari lipo ila mim sina mtaji na utaalam wa kuitambua asali mbichi ambayo ni nzuri hvyo kwa mwenyekuhitaji tufanye biashara nakaribisha, biashara ya asali ina faida sana hasa ikipatkana asali yenye ubora , natanguliza shukrani zangu kwenu, napatikana tabata dsm,0786909280,,,0764064872
 
Ofa Yako kwa lita ni Tsh. Ngapi?
Naweza ipata pesa yangu mara baada ya kukupa bidhaa?
 
Inawezekana,hata marekani ila kipengele mtaji ndugu
Nchi hii nilichogundua hakuna tatizo la mitaji, ila tatizo kubwa ni UAMINIFU.

Yaani sasa hivi kuna wimbi kubea sana la watnzania wenyr njaa kaliiiii sana. Hawaoni tatizo kutapeli mtu yeyote.

Na haijalishi huyo mtu wana ukaribu naye kwa kiasi gani. Ukishawapa pesa na wao wanaku-MUTE muda huo huo.

Binafsi napenda sana kufanya biashara na nina uwezo hata wa kuwa na 10M kuiingiza kwenye biashara ila kwa jinsi ambavyo kila ninayejaribu kufanya nae biashara lazima nitapeliwe nimepoteza imani kabisa na watu.
 
Binafsi ndugu wa tumbo moja kabisa wanameni let down mkuu
 
Asante kwa ushuhuda
 
Hilo ni tatizo kikubwa mtu uielewe biashara uingie mwenyewe ufanye
 
Hii ni kweli kabisa; watu wamekosa uaminifu. Kaiti kama watu wangekuwa na uaminifu japo kidogo, mafanikio wengi wange yaona
 
Kama utaitaji kuingia ubia na dada mmoja huwa anachukua asali tabora na kuiongezea thamani na kuuza; nitakuunganisha naye kama utataka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…