Inawezekana,hata marekani ila kipengele mtaji nduguHivi hatuwezi kusafirisha wenyewe kwenda Dubai?
Nchi hii nilichogundua hakuna tatizo la mitaji, ila tatizo kubwa ni UAMINIFU.Inawezekana,hata marekani ila kipengele mtaji ndugu
Dubai unamjua nani hukoHivi hatuwezi kusafirisha wenyewe kwenda Dubai?
Dubai unamjua nani huko biashara ni network hupeleki tu!
Binafsi ndugu wa tumbo moja kabisa wanameni let down mkuuNchi hii nilichogundua hakuna tatizo la mitaji, ila tatizo kubwa ni UAMINIFU.
Yaani sasa hivi kuna wimbi kubea sana la watnzania wenyr njaa kaliiiii sana. Hawaoni tatizo kutapeli mtu yeyote.
Na haijalishi huyo mtu wana ukaribu naye kwa kiasi gani. Ukishawapa pesa na wao wanaku-MUTE muda huo huo.
Binafsi napenda sana kufanya biashara na nina uwezo hata wa kuwa na 10M kuiingiza kwenye biashara ila kwa jinsi ambavyo kila ninayejaribu kufanya nae biashara lazima nitapeliwe nimepoteza imani kabisa na watu.
Hao Wakenya wanamjua nani? Unaenda kufanya biashara au kujuana na Watu? Us ulidhani ni kubeba Asali zako na kwenda tu? HahahahDubai unamjua nani huko
Asante kwa ushuhudaNchi hii nilichogundua hakuna tatizo la mitaji, ila tatizo kubwa ni UAMINIFU.
Yaani sasa hivi kuna wimbi kubea sana la watnzania wenyr njaa kaliiiii sana. Hawaoni tatizo kutapeli mtu yeyote.
Na haijalishi huyo mtu wana ukaribu naye kwa kiasi gani. Ukishawapa pesa na wao wanaku-MUTE muda huo huo.
Binafsi napenda sana kufanya biashara na nina uwezo hata wa kuwa na 10M kuiingiza kwenye biashara ila kwa jinsi ambavyo kila ninayejaribu kufanya nae biashara lazima nitapeliwe nimepoteza imani kabisa na watu.
Yes, asali itapimwa kama itakuwa na grade inayofaa utapata ela cash, kuhusu bei lita 1 ni kuanzia dola 10- nakuendleaOfa Yako kwa lita ni Tsh. Ngapi?
Naweza ipata pesa yangu mara baada ya kukupa bidhaa?
BadoUmeshapata?
Hilo ni tatizo kikubwa mtu uielewe biashara uingie mwenyewe ufanyeNchi hii nilichogundua hakuna tatizo la mitaji, ila tatizo kubwa ni UAMINIFU.
Yaani sasa hivi kuna wimbi kubea sana la watnzania wenyr njaa kaliiiii sana. Hawaoni tatizo kutapeli mtu yeyote.
Na haijalishi huyo mtu wana ukaribu naye kwa kiasi gani. Ukishawapa pesa na wao wanaku-MUTE muda huo huo.
Binafsi napenda sana kufanya biashara na nina uwezo hata wa kuwa na 10M kuiingiza kwenye biashara ila kwa jinsi ambavyo kila ninayejaribu kufanya nae biashara lazima nitapeliwe nimepoteza imani kabisa na watu.
Hii ni kweli kabisa; watu wamekosa uaminifu. Kaiti kama watu wangekuwa na uaminifu japo kidogo, mafanikio wengi wange yaonaNchi hii nilichogundua hakuna tatizo la mitaji, ila tatizo kubwa ni UAMINIFU.
Yaani sasa hivi kuna wimbi kubea sana la watnzania wenyr njaa kaliiiii sana. Hawaoni tatizo kutapeli mtu yeyote.
Na haijalishi huyo mtu wana ukaribu naye kwa kiasi gani. Ukishawapa pesa na wao wanaku-MUTE muda huo huo.
Binafsi napenda sana kufanya biashara na nina uwezo hata wa kuwa na 10M kuiingiza kwenye biashara ila kwa jinsi ambavyo kila ninayejaribu kufanya nae biashara lazima nitapeliwe nimepoteza imani kabisa na watu.
Hiyo asali wananunua kwa matumizi gani?Yes, asali itapimwa kama itakuwa na grade inayofaa utapata ela cash, kuhusu bei lita 1 ni kuanzia dola 10- nakuendlea
Ntashkuru sanaKama utaitaji kuingia ubia na dada mmoja huwa anachukua asali tabora na kuiongezea thamani na kuuza; nitakuunganisha naye kama utataka.