Nahitaji mbia kwenye biashara ya kuuza asali Kenya

Nahitaji mbia kwenye biashara ya kuuza asali Kenya

Hiyo asali wananunua kwa matumizi gani?
First grade inatumika kwa matumiz ya nyumban kama chakula au alternatv sugar, second, inauzw kwny groceries kwa kuongezwa ingredients, third inatumika ktk pharmaceutical industries kutengneza dawa na vipodozi.
 
Nchi hii nilichogundua hakuna tatizo la mitaji, ila tatizo kubwa ni UAMINIFU.

Yaani sasa hivi kuna wimbi kubea sana la watnzania wenyr njaa kaliiiii sana. Hawaoni tatizo kutapeli mtu yeyote.

Na haijalishi huyo mtu wana ukaribu naye kwa kiasi gani. Ukishawapa pesa na wao wanaku-MUTE muda huo huo.

Binafsi napenda sana kufanya biashara na nina uwezo hata wa kuwa na 10M kuiingiza kwenye biashara ila kwa jinsi ambavyo kila ninayejaribu kufanya nae biashara lazima nitapeliwe nimepoteza imani kabisa na watu.
Usitoe bidhaa/huduma ya bishara yako kabla hujalipwa, mambo ya uaminifu bila vigezo vinavyoeleweka kisheria au documentation ambazo zinaweza kuwa enforced kisheria ni kucheza kamari ya pesa yako, kuwa makini
 
Nchi hii nilichogundua hakuna tatizo la mitaji, ila tatizo kubwa ni UAMINIFU.

Yaani sasa hivi kuna wimbi kubea sana la watnzania wenyr njaa kaliiiii sana. Hawaoni tatizo kutapeli mtu yeyote.

Na haijalishi huyo mtu wana ukaribu naye kwa kiasi gani. Ukishawapa pesa na wao wanaku-MUTE muda huo huo.

Binafsi napenda sana kufanya biashara na nina uwezo hata wa kuwa na 10M kuiingiza kwenye biashara ila kwa jinsi ambavyo kila ninayejaribu kufanya nae biashara lazima nitapeliwe nimepoteza imani kabisa na watu.
Uko sahihi. Mtanzania mzuri ni yule ambaye ana shida ya mtaji. Atanyenyekea, atalia, atakupa kila aina ya ahadi. Ukimpa hizo fedha andika umeumia mno. Anageuka na kuwa mkali kama simba. Ahadi zote alizoahidi zinageuka na biashara atasema inaingiza hasara hvyo mpe mda arudishe fedha zako. Ndiyo kimoja.... hata kama ni ndugu yako mtakosana moja kwa moja.
 
Nauza Asali Ya Jumla Na Rejareja
Ipo Ya Nyuki Wadogo Na Nyuki Wakubwa.

Tufunga Kwa Vipimo Tofauti Tofautii

Bei Ya Rejareja
Lita1 - 10,000 (Nyuki Wa Kubwa)
Lita1 - 25,000 (Nyuko Wa Dogo)

Bei Ya Jumla
Tuwasiliane Maana Kuna Ofa Zaidi

Kumbuka Utauzia DHAHABU Kwa Bei Ya NYANYA[emoji1].

0658 357537
Tabora

Popote Tunatuma Na Mzigo Utakufikia Bila Shida
Utatuma mzigo au aje kukagua na kulipa baada ya kupewa mali? Yaani una-suggest mtu asome tangazo kama hili halafu akutumie fedha na wewe utume mzigo ama?
 
Utatuma mzigo au aje kukagua na kulipa baada ya kupewa mali? Yaani una-suggest mtu asome tangazo kama hili halafu akutumie fedha na wewe utume mzigo ama?
Sikiliza wimbo upiotengenezwa na Ogopa deejay ili baadae usije ukasikiliza nyimbo zilizotengenezwa na Allan Mapigo.
 
Nauza Asali Ya Jumla Na Rejareja
Ipo Ya Nyuki Wadogo Na Nyuki Wakubwa.

Tufunga Kwa Vipimo Tofauti Tofautii

Bei Ya Rejareja
Lita1 - 10,000 (Nyuki Wa Kubwa)
Lita1 - 25,000 (Nyuko Wa Dogo)

Bei Ya Jumla
Tuwasiliane Maana Kuna Ofa Zaidi

Kumbuka Utauzia DHAHABU Kwa Bei Ya NYANYA[emoji1].

0658 357537
Tabora

Popote Tunatuma Na Mzigo Utakufikia Bila Shida
Tuma mzigo malipo baadae
 
Mimi naweza kusuply kwa kuanzia tu lita mia moja ila lazima unipe nusu ya pesa ya thamani ya mzigo.
 
Nchi hii nilichogundua hakuna tatizo la mitaji, ila tatizo kubwa ni UAMINIFU.

Yaani sasa hivi kuna wimbi kubea sana la watnzania wenyr njaa kaliiiii sana. Hawaoni tatizo kutapeli mtu yeyote.

Na haijalishi huyo mtu wana ukaribu naye kwa kiasi gani. Ukishawapa pesa na wao wanaku-MUTE muda huo huo.

Binafsi napenda sana kufanya biashara na nina uwezo hata wa kuwa na 10M kuiingiza kwenye biashara ila kwa jinsi ambavyo kila ninayejaribu kufanya nae biashara lazima nitapeliwe nimepoteza imani kabisa na watu.
Nimeku-PM
 
Nchi hii nilichogundua hakuna tatizo la mitaji, ila tatizo kubwa ni UAMINIFU.

Yaani sasa hivi kuna wimbi kubea sana la watnzania wenyr njaa kaliiiii sana. Hawaoni tatizo kutapeli mtu yeyote.

Na haijalishi huyo mtu wana ukaribu naye kwa kiasi gani. Ukishawapa pesa na wao wanaku-MUTE muda huo huo.

Binafsi napenda sana kufanya biashara na nina uwezo hata wa kuwa na 10M kuiingiza kwenye biashara ila kwa jinsi ambavyo kila ninayejaribu kufanya nae biashara lazima nitapeliwe nimepoteza imani kabisa na watu.
Tuwasiliane kwa +255767112221
 
Wakuu nina dumu za lia 20 ... za asali mbichi ya tabora mwenye kuhitaji tuwasiliane ... utapima kwanza ukisha ridhia ndipo utafanya malipo 0742612561...
 
Back
Top Bottom