First grade inatumika kwa matumiz ya nyumban kama chakula au alternatv sugar, second, inauzw kwny groceries kwa kuongezwa ingredients, third inatumika ktk pharmaceutical industries kutengneza dawa na vipodozi.Hiyo asali wananunua kwa matumizi gani?
Kuweka mashambani ng'ombe wasile mazaoHiyo asali wananunua kwa matumizi gani?
Mkuu nisaidie mawasiliano yakeKama utaitaji kuingia ubia na dada mmoja huwa anachukua asali tabora na kuiongezea thamani na kuuza; nitakuunganisha naye kama utataka.
Usitoe bidhaa/huduma ya bishara yako kabla hujalipwa, mambo ya uaminifu bila vigezo vinavyoeleweka kisheria au documentation ambazo zinaweza kuwa enforced kisheria ni kucheza kamari ya pesa yako, kuwa makiniNchi hii nilichogundua hakuna tatizo la mitaji, ila tatizo kubwa ni UAMINIFU.
Yaani sasa hivi kuna wimbi kubea sana la watnzania wenyr njaa kaliiiii sana. Hawaoni tatizo kutapeli mtu yeyote.
Na haijalishi huyo mtu wana ukaribu naye kwa kiasi gani. Ukishawapa pesa na wao wanaku-MUTE muda huo huo.
Binafsi napenda sana kufanya biashara na nina uwezo hata wa kuwa na 10M kuiingiza kwenye biashara ila kwa jinsi ambavyo kila ninayejaribu kufanya nae biashara lazima nitapeliwe nimepoteza imani kabisa na watu.
Uko sahihi. Mtanzania mzuri ni yule ambaye ana shida ya mtaji. Atanyenyekea, atalia, atakupa kila aina ya ahadi. Ukimpa hizo fedha andika umeumia mno. Anageuka na kuwa mkali kama simba. Ahadi zote alizoahidi zinageuka na biashara atasema inaingiza hasara hvyo mpe mda arudishe fedha zako. Ndiyo kimoja.... hata kama ni ndugu yako mtakosana moja kwa moja.Nchi hii nilichogundua hakuna tatizo la mitaji, ila tatizo kubwa ni UAMINIFU.
Yaani sasa hivi kuna wimbi kubea sana la watnzania wenyr njaa kaliiiii sana. Hawaoni tatizo kutapeli mtu yeyote.
Na haijalishi huyo mtu wana ukaribu naye kwa kiasi gani. Ukishawapa pesa na wao wanaku-MUTE muda huo huo.
Binafsi napenda sana kufanya biashara na nina uwezo hata wa kuwa na 10M kuiingiza kwenye biashara ila kwa jinsi ambavyo kila ninayejaribu kufanya nae biashara lazima nitapeliwe nimepoteza imani kabisa na watu.
Utatuma mzigo au aje kukagua na kulipa baada ya kupewa mali? Yaani una-suggest mtu asome tangazo kama hili halafu akutumie fedha na wewe utume mzigo ama?Nauza Asali Ya Jumla Na Rejareja
Ipo Ya Nyuki Wadogo Na Nyuki Wakubwa.
Tufunga Kwa Vipimo Tofauti Tofautii
Bei Ya Rejareja
Lita1 - 10,000 (Nyuki Wa Kubwa)
Lita1 - 25,000 (Nyuko Wa Dogo)
Bei Ya Jumla
Tuwasiliane Maana Kuna Ofa Zaidi
Kumbuka Utauzia DHAHABU Kwa Bei Ya NYANYA[emoji1].
0658 357537
Tabora
Popote Tunatuma Na Mzigo Utakufikia Bila Shida
Sikiliza wimbo upiotengenezwa na Ogopa deejay ili baadae usije ukasikiliza nyimbo zilizotengenezwa na Allan Mapigo.Utatuma mzigo au aje kukagua na kulipa baada ya kupewa mali? Yaani una-suggest mtu asome tangazo kama hili halafu akutumie fedha na wewe utume mzigo ama?
Hayo maneno! Hapa hata mimi nakubaliana na wewe.Amna Boss wangu tunawasiliana kisha tunakubaliana wala hakuna tatizo, ikibidi tunakuletea Ulipo Kisha Unakagua Kisha Unalipa.
0658 35 75 37
Tuma mzigo malipo baadaeNauza Asali Ya Jumla Na Rejareja
Ipo Ya Nyuki Wadogo Na Nyuki Wakubwa.
Tufunga Kwa Vipimo Tofauti Tofautii
Bei Ya Rejareja
Lita1 - 10,000 (Nyuki Wa Kubwa)
Lita1 - 25,000 (Nyuko Wa Dogo)
Bei Ya Jumla
Tuwasiliane Maana Kuna Ofa Zaidi
Kumbuka Utauzia DHAHABU Kwa Bei Ya NYANYA[emoji1].
0658 357537
Tabora
Popote Tunatuma Na Mzigo Utakufikia Bila Shida
Tuwasiliane Tuu, Niko Tabora.Hayo maneno! Hapa hata mimi nakubaliana na wewe.
Nimeku-PMNchi hii nilichogundua hakuna tatizo la mitaji, ila tatizo kubwa ni UAMINIFU.
Yaani sasa hivi kuna wimbi kubea sana la watnzania wenyr njaa kaliiiii sana. Hawaoni tatizo kutapeli mtu yeyote.
Na haijalishi huyo mtu wana ukaribu naye kwa kiasi gani. Ukishawapa pesa na wao wanaku-MUTE muda huo huo.
Binafsi napenda sana kufanya biashara na nina uwezo hata wa kuwa na 10M kuiingiza kwenye biashara ila kwa jinsi ambavyo kila ninayejaribu kufanya nae biashara lazima nitapeliwe nimepoteza imani kabisa na watu.
Tuwasiliane kwa +255767112221Nchi hii nilichogundua hakuna tatizo la mitaji, ila tatizo kubwa ni UAMINIFU.
Yaani sasa hivi kuna wimbi kubea sana la watnzania wenyr njaa kaliiiii sana. Hawaoni tatizo kutapeli mtu yeyote.
Na haijalishi huyo mtu wana ukaribu naye kwa kiasi gani. Ukishawapa pesa na wao wanaku-MUTE muda huo huo.
Binafsi napenda sana kufanya biashara na nina uwezo hata wa kuwa na 10M kuiingiza kwenye biashara ila kwa jinsi ambavyo kila ninayejaribu kufanya nae biashara lazima nitapeliwe nimepoteza imani kabisa na watu.
Inabidi kwenda dubai kuchukua vigezo wanavyohitaji.,na kufunga mkataba wa kibiasharaHivi hatuwezi kusafirisha wenyewe kwenda Dubai?
Naomba uniunganishe nayeKama utaitaji kuingia ubia na dada mmoja huwa anachukua asali tabora na kuiongezea thamani na kuuza; nitakuunganisha naye kama utataka.