architect astely
Member
- Nov 21, 2015
- 34
- 13
Habari yenu wadau wa jamii forum..i hope kila mmoja anaendelea vizuri katika harakati zake za kila siku za kusaka mafanikio.Kuna jambo naomba kuuliza kwa yeyote ambaye atakuwa na mchango wa mawazo ntashukuru sana. Kuna biashara nafikiria kufanya, nataka nianze kununua miogo mikavu kutoka kwa wakulima na then nikauze katika makampuni/viwanda ambavyo vinahusika na kuprocess miogo kwenda kwenye products zingine kama starch na kadhalika. Tatizo nililonalo ni kwamba mpaka sasa sijaweza jua kiwanda/kampuni yeyote ambaye inaweza kuwa kama soko kwa bidhaa hii...naomba kwa yeyote anayefahamu chochote kuhusu hii biashara anijuze
Thanks in advance
Thanks in advance