Nahitaji Mchumba/boyfriend

Nahitaji Mchumba/boyfriend

Nipo Huku milima ya waluguru
Nalima Mpunga .
Na hiyo huzuni vepe tena vijarubani huko? Au vipeto vya mbegu havijatosha nini?
Karibu bonde la mto Rukwa Sumbawanga mpunga safi sana, gunia huuzwa mpaka 270,000
 
Na hiyo huzuni vepe tena vijarubani huko? Au vipeto vya mbegu havijatosha nini?
Karibu bonde la mto Rukwa Sumbawanga mpunga safi sana, gunia huuzwa mpaka 270,000
Ah Maisha tu haya.
Asante sana .
 
Kwa hiyo una uzuni (depression) unatafuta mtu kumpelekea depression yako? ungetibu kwanza huzuni yako kwa njia za kisaikolojia ndipo utafute kidume cha kuterezamo
 
Back
Top Bottom